Heshima kwenu wakuu.
Ninaambiwa na watu kwamba kilimo cha tangawizi kinalipa sana kwa sababu soko la uhakika lipo na ni zuri.
Nimeshaelekezwa sehemu ambayo hili zao linakubali uzuri.
Ombi langu ni kwa wale wenye uzoefu na kilimo hiki wanipe A,B,C...zote kuhusu kilimo cha zao hili.
Ningependa kujua kuhusu gharama ninazoweza kukumbana nazo mpaka zao hili lifikie hatua ya kuvunwa toka shambani,thanks in advance.
Ninaambiwa na watu kwamba kilimo cha tangawizi kinalipa sana kwa sababu soko la uhakika lipo na ni zuri.
Nimeshaelekezwa sehemu ambayo hili zao linakubali uzuri.
Ombi langu ni kwa wale wenye uzoefu na kilimo hiki wanipe A,B,C...zote kuhusu kilimo cha zao hili.
Ningependa kujua kuhusu gharama ninazoweza kukumbana nazo mpaka zao hili lifikie hatua ya kuvunwa toka shambani,thanks in advance.