Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Soko la Kunde, Mbaazi na Choroko

Wadau napenda kufahamu soko la mbaazi,kunde na choroko daresalamu maana ninampango nianze biashara hiyo kwa kununua choroko kutoka mtwara na kusafirisha dar naitaji mwenye ufahamu wa soko na hata...

View Article


Kilimo cha zao la Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadau

Heshima kwenu wakuu. Ninaambiwa na watu kwamba kilimo cha tangawizi kinalipa sana kwa sababu soko la uhakika lipo na ni zuri. Nimeshaelekezwa sehemu ambayo hili zao linakubali uzuri. Ombi langu ni kwa...

View Article


Ushauri, kilimo cha kitunguu swaumu

Hello comrades Naomba ushauri kwa yeyote mwenye utaalamu au uzoefu wa hiki kilimo Baada ya kuona fursa kwenye kilimo cha vitunguu swaumu, nilishawishika kuanza kulima. Baada ya uchunguzi wa awali...

View Article

Msaada: Nataka kuwa Mkulima

Za asubuhi ndugu zangu, natumaini mmeamka salama, Mimi ni kijana wa kiume nahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo nahisi ndo kitu ambacho kitanifanya nifikie malengo yangu, nimeajiriwa lakini kila...

View Article

Nimefarijika sana na site hii, naomba ushauri wa mazao ya muda mfupi Fukayosi!

Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya business! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums. Leo nimefarijika sana kuja...

View Article


SOKO LA MATIKITI

Habari zenu wana jukwaa mimi naomba mwenye experiences na soko la zao la matikiti mwezi saba au wa nane hua liko vip hasa kwa miji kama dar morogoro au dodoma ..kwa mwenye kujua naomba msaada wa ufaham...

View Article

Nafasi za uwakala kanda ya Ziwa

View attachment 335161 Tunatangaza nafasi za uwakala wa bidhaa za MGE ktk kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera, Mwanza, na Mara. Bidhaa zetu ni mashine za kutotoleshea mayai za aina zote,spea za incubator...

View Article

Soko la matikiti mwezi wa saba linakuaje Dar?

Habari zenu wana jukwaa mimi naomba mwenye experiences na soko la zao la matikiti mwezi saba au wa nane hua liko vipi hasa kwa miji kama Dar Morogoro au Dodoma. Kwa mwenye kujua naomba msaada wa...

View Article


Tajirika kwa kufuga kuku Weusi wa malawi wanaofaa kwa kutaga na nyama

Wanakua na kufikia uzito wa kilo 4 UJASIRIAMALI ni jambo jema katika mapambano dhidi ya umasikini, lakini pia ili kuweza kuwa mjasiriamali, yanahitajika maarifa ya ziada, ikiwamo ubunifu katika...

View Article


Msaada wa kilimo cha umwagiliaji

Habari wadau, Nashukuru Mungu aliniwezesha kupa shamba la ekari 20 maeneo ya mtibwa morogoro. Kwa muda wa miaka 5 nimekuwa nikilima Kilimo cha kutegemea mvua niliwahi kupata mwaka juzi tu mazao kidogo...

View Article

Ufugaji Nyuki wa Kisasa

Wadau Wa Ufugaji Nyuki. Naombeni Ushauri Wa Kitalaamu Juu Ya Ufugaji Nyuki Na Uvunaji Wake Kwa Njia Za Kisasa. Pia Mnijuze Bei Ya Mzinga Mmoja Wa Kisasa Kwa Ajili Ya Kufugia Nyuki Ni TSh. Ngapi?

View Article

Gharama ya kutengeneza kisima Dar

Wana JF Naomba kama kuna anayefahamu gharama za kuchimba kisima kwa Dar anipe picha kamili,ikiwa nikuanzia kupima mkondo maji,Site ni Bunju karibu na mpiji natanguliza shukrani.

View Article

Jukwaa la Vijanav- Arusha

Mashirika yaliochini ya mwamvuli wa mtandao wa AgriProFocus, yanaandaa Jukwaa la vijana lenye lengo ya kuhamashisha vijana kuingia kwenye kilimo biashara kwa kuwakutanisha na fursa mbalimbali zilizoo...

View Article


Kumuasi mbwa (Castration)

Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi. Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje Msaada please matusi ayaitajiki

View Article

Maboga je Yanalipa?

Wandugu nataka kulima maboga.Nahitaji kujua zaidi kuhusu Kilimo hichi wakuu.

View Article


Kitomondo, kilimo gani naweza kufanya?

Habari ndg wanajamiiforum, Nani anapajua Kitomindo vizuri? Na je mazao gani yanastawi maeneo yale kando mto Ruvu? Mwenye idea anieleze jamani nimechoka kukaa town naangaika na ajira za kubembelezana na...

View Article

Ushauri kuhusu kuku anayetaga mayai zaidi ya 1 kwa siku!

Wakuu ninahitaji kuku wanaotaga mayai zaidi ya moja kwa Sikh,kuna mtu alinipa contact lakini nikapoteza cm,

View Article


Biashara ya upandaji wa miti ya mbao

Mimi nigependa kuwahamasisha wanJF kupanda miti ya mbao hasa mbao nyeupe (pines and cypress). Miti hii inasitawi sana sehemu za nyanda za juu kusini. Mimi nilianza kupanda miti hii kama miaka kumi...

View Article

Rafiki yangu amesoma kilimo anatafuta kazi

kwa yeyote ambaye anaweza kumsaidia amehitimu certificate ya kilimo namba yake ni 0752510642, nataguliza shuranni zangu.

View Article

Natafuta shamba kwa ajili ya ufugaji kuku

Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo. Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>