Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Jukwaa la Vijana- Arusha

Mashirika yaliyochini ya mwamvuli wa mtandao wa AgriProFocus, yanaandaa Jukwaa la vijana lenye lengo ya kuhamashisha vijana kuingia kwenye kilimo biashara kwa kuwakutanisha na fursa mbalimbali zilizoo...

View Article


Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa...

NEW, NEW, NEW, NEW.. TAREHE; 14 DISEMBA 2015. SOMO LA NNE (4) . Denguwe/Kanitangaze/Tuta Absoluta LEO TUTAJIFUNZA KWA KIFUPI KUHUSU MDUDU AITWAYE DENGUWE/KANITANGAZE/TUTA ABSOLUTA KIASILI/KIHISTORIA...

View Article


Ushauri, kilimo cha kitunguu swaumu

Hello comrades Naomba ushauri kwa yeyote mwenye utaalamu au uzoefu wa hiki kilimo Baada ya kuona fursa kwenye kilimo cha vitunguu swaumu, nilishawishika kuanza kulima. Baada ya uchunguzi wa awali...

View Article

Nahitaji msaada wa mawazo gharama za kununua mashine ya kukoboa na kusaga nafaka

Asalaam wanaJf, muda mrefu nimekuwa na wazo la kuanzisha mradi unaohusiana na nafaka. Kwa sasa wazo lililotawala kichwa changu ni kununua mashine inayotumia umeme ya kukoboa na kusaga nafaka....

View Article

Biashara ya kusaga, kupack na kusambaza unga

Wadau. Nimeisha anza mchakato wa hiyo kitu kwa maana ya jengo ambayo mi nimeiita phase one sasa ndo najipanga kuezeka. Phase two ni kununua machines ambazo ni full set kusaga na kukoboa pamoja na...

View Article


Mashamba yanauzwa Morogoro

Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni

View Article

Ufugaji wa Nguruwe: Utaalam na Masoko

View attachment 324772 - Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000 - Banda la mabanzi=1,000,000 - Chakula = 1,000,000 - Dawa= 200000 After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,...

View Article

Kilimo cha Mihogo(Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo yafuatayo: 1....

View Article


Naombeni ushauri kuhusu Biashara na Kilimo cha bustan ya mboga majani

Moja ya kitu kinachohitajika sana na wakazi wa mijini na vijijini ni mboga za majani (green vegetables) kama chinese, figili, mchicha, mnafu, mboga za maboga, matembele nk. Mboga za majani zinahitajika...

View Article


Natafuta nyanya za greenhouse

Habari zenu. Jamani kama kuna mkulima wa nyanya za green house au kuna anayejua mkulima wa nyanya izo naomba tuwasiliane kwa PM. Nipo Dsm. Asanteni

View Article

Kuku aina ya kuchi

Wadau nahitaji kuwafahamu kwa undani hawa kuku aina ya kuchi maaana wanauzwa ghali sana.nahitaji kufahamu jinsi ya kuwafuga na soko lake Likoje?

View Article

Soko la viazi vitamu Dar es Salaam

Wakuu na wadau wa kilimo.. Ningependa kuelewa soko la VIAZI vitamu Dar es salaam likoje. Mara nyingi zao hili linalimwa na kuvunwa kwa msimu hasa miezi ya kiangazi, je soko lake nalo ni kwa msimu au ni...

View Article

Kwanini uwe masikini? Tajirika kwa Kilimo Cha Green House

KWA NINI UWE MASKINI? JE, UNGEPENDA KUVUNA NYANYA NYINGI KILA WIKI NA KUJIPATA KIPATO KIKUBWA KUPITIA KILIMO CHA GREEN HOUSE? View attachment 165705 Team ya "AMKA NA BADILIKA" ya CONSNET GROUP...

View Article


Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Kutokana na ongezeko la maswali ya wadau wengi juu ya ufugaji wa kuku aina hii, tumeonelea ni vema tukauweka mjadala huu vema kuweza kuwasaidia wafugaji na wanunuaji wa vifaranga/kuku wa aina hii. Kuku...

View Article

NAOMBA KUJUA UFUGAJ WA NG

Habar wapendwa Samahan naomba kujua ufugaji wa ngurue na malazi yao mkubwa na matibabu ya. Pamoja na ufugaji wa kuku wakienyeji yaaan jinsi ya kumnyang`ang`a vifaranga vikiwa vina umri gani naitwa moi...

View Article


Msaada wa ushauri kuhusu kilimo cha mapapai na mbogamboga

Wanajanvi habari zenu, nina ndugu yangu anataka kuanzisha kilimo cha kisasa cha mboga mboga na matunda hasa mapapai, ameshaanza kuchimba kisima kirefu kwa ajili ya umwagiliaji, swali langu ni kuomba...

View Article

Ufugaji na kilimo unalipa sana

Wana JF, Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji. Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40 yrs. Baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pata ushauri wa kitaalam juu ya kilimo cha Mapapai

Wana JF, nataka kufanya kilimo cha mapapai ila nahitaji mbegu za muda mfupi kuzaa ili nianze kuvuna mapema. Naomba msaada wa yafuatayo 1 Wapi nitapata mbegu fupi za muda mfupi kuanza kuzaa? 2....

View Article

Kilimo cha choroko na masoko yake

Choroko ni moja ya mazao ya jamii ya mikunde hustawi eneo lenye mwanga wa kutosha pamoja na udongo wa tifutifu.pia masoko yake ni mazuri mfano kwa masasi 1300-1500@kg 1 .hivyo vijana tujishughulishe...

View Article

Msaada wa ufugaji wa bata wa kienyeji

Wadau mwenye utaalamu na ufugaji wa ndege (bata kienyeji) tupeane utaalamu huo!

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>