Habari zenu.
Jamani kama kuna mkulima wa nyanya za green house au kuna anayejua mkulima wa nyanya izo naomba tuwasiliane kwa PM.
Nipo Dsm.
Asanteni
Jamani kama kuna mkulima wa nyanya za green house au kuna anayejua mkulima wa nyanya izo naomba tuwasiliane kwa PM.
Nipo Dsm.
Asanteni