Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live

Mashine ya kumwagilia ile ya kurusha maji juu....

Wadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa..ziwani kabisa nategemea kiwe cha umwagiliaji ....heka tatu...changamoto iliyopo namwagiliaje ....water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.....nimewaza ile...

View Article


Naomba kujua kuhusu ufugaji wa nguruwe

Habari wapendwa Samahan naomba kujua ufugaji wa nguruwe, malazi yao na matibabu yao. Pia na ufugaji wa kuku wa kienyeji yaani jinsi ya kumnyang`anya vifaranga,na je nifanye hivo vikiwa vina umri gani?...

View Article


Nailoni za green house

Wakuu habari zenu Naomba kujuzwa eti zile nailoni za green house pale Arusha wanaziuzaje.

View Article

Msaada wa Vifaranga vya Kuku wa Mayai

Wadau, Salaam, Naomba msaada wa jinsi ya kupata vifaranga vya kuku wa mayai. Mimi nipo Dar Es Salaam, natanguliza shukrani za dhati.

View Article

Hawa ng'ombe wanapatikana mkoa gani?

Wakuu natafuta ng'ombe kama hawa kwa ajili ya mradi wangu wa ufugaji, ila sijui naweza kuwapata wapi Tanzania. View attachment 338794

View Article


Msaada: Kilimo cha matikiti maji

wana JF kwanza poleni na shughuli za kimaisha za kila siku.....bila kupoteza muda mimi ni kijana sasa nataka nijikite katika kilimo na kwa kuanzia nataka nilime MATIKITI MAJI kibada nimepata shamba la...

View Article

Msaada kuhusu kilimo cha Pilipili

Ninaomba mtu anayejua kuhusu hili zao anipe details zote kuhusu ili zao kama misimu capital faida challenges na kama eneo la Ruvu linafaa kwa hiki kilimo, madawa n.k kwasababu ningependa kufanya hiki...

View Article

Shule ya kilimo na ufugaji.

Wakuu habari za wakati. Natumaini mko vzr na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Naomba niende kwenye point. Naomba kujumuishwa kwenye group yoyote ya whatsap inayotoa shule (elimu) kwa habari...

View Article


Natafuta Maharage aina ya Green mung beans,maharage ya kijani

Natumai mpo wazima wote, nahitaji maharage ya kijani yanaitwa Green Mung Beans,kama unayo tafadhali nitajie bei kwa Metric Tonne ,na sehemu ambako upo na hayo maharage,na uwezo wako wa kuweza ku-...

View Article


Benki ya Kilimo yajizatiti kusaidia upatikanaji wa Masoko nchini

View attachment 333596 Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imedhamiria kusaidia upatikanaji wa Masoko ili kuongeza Mapinduzi yenye tija katika Sekta ya Kilimo nchini ili kuchagiza na kusaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

Ni pamp inayo faa kwa kilimo na ufugaji wa samaki kwani ina uwezo wa kuvuta maji kwa kiwango kikubwa hadi lita 800 kwa dakika . Namb 0657 139511/0768092950

View Article

Ntawezaje kutoa vyura kwenye ndimbwi la Samaki?

Wana JF; Habari ya asubuhi kama ilivyo heading hapo juu; mimi ni mfugaji wa samaki kwa kutumia ndimbwi la samaki hapa nyumbani; kwa bahati mbaya kwenye dimbwi hilo la samaki vyura wameingia na wameanza...

View Article

Tunatengeneza mabwawa kwa ajili ya ufugaji wa samaki

Ushauri, Utengenezaji wa mbwawa ya samaki, chakula cha samaki. >Kwa kupata huduma hizo tutafute kwa namba ya simu-0714420808

View Article


Mashine ya kumwagilia isiyotumia umeme

wanajamvi habarini.. nimeanzisha bustani ya mbogamboga ila changamoto nnayoipata ni katika umwagiliaji kwani maji ya kumwagilia nayachota kisimani (bustani inahitaji kama ndoo 100 kwa siku). hivyo...

View Article

Kilimo cha Pilipili Hoho

Habari wana waungwana? Naomba muongozo wa kilimo cha pilipili hoho kwa wenye uzoefu. Asanteni =============================== baraka607 said: ↑ Nna mchakato ambao nilipata wakati niko Kenya kwenye...

View Article


Maji yenye chumvi na kilimo cha umwagiliaji

Naomba msaada wa mawazo. Nimenunua shamba eneo ambalo nimefanya utafiti nikagundua underground water iko karibu sana. Mpango wangu ni kuchimba kusima kwa ajili ya kufanya irrigation farming. Nimegundua...

View Article

Mtaji wa milioni moja unatosha kufungulia duka la vitu vidogo vidogo?

Nina milioni moja na nusu kwa mtaji huu naweza kufungua duka la vitu vidogovidogo vya nyumbani? Na je inalipa, msaada plz

View Article


Msaada kuhusu kilimo cha njegere!!!

Ndugu zangu naombeni msaada kuhusu kilimo cha njegere, upatikanaji wa mbegu, changamoto zake - magonjwa, madawa, na inahitaji kiasi gani cha mvua, aina ya udongo n.k

View Article

Nafasi za uwakala kanda ya Ziwa

View attachment 335161 Tunatangaza nafasi za uwakala wa bidhaa za MGE ktk kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera, Mwanza, na Mara. Bidhaa zetu ni mashine za kutotoleshea mayai za aina zote,spea za incubator...

View Article

Wakulima wa Matunda wanahitajika

Wadau habari zenu. Niko kwenye mchakato wa kuanzisha biashara itakayo hitaji ushirikiano na wakulima wa matunda aina mbali mbali kama vile; Maembe mananasi tikiti maji strawberries blueberries ndizi...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live