Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Kubota yupo wapi??

Mh Kubota upo wapi ndugu. Wewe ni mtu muhimu sana kwenye jukwaa letu hasa kwa kutufunua akili na kutupa mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji. Naomba mods kama mna namna yeyote ya kumtress huyu mtu,...

View Article


KILIMO CHA MATIKITI MAJI (WATERMELON)

Naomba msaada kuhusu kilimo cha Matikiti Maji (Watermelon) kwa kuzingatia maeneo yafuatayo:- - Mbegu - Upatikanaji wa mbegu - Upandaji - Aina ya mbolea - Madawa - Magonjwa - Uvunaji - Uuzaji - Faida ya...

View Article


Vipimo vya unyevu, humidity na joto temoerature, sasa vinapatikana mge

Vipimo vitakavyokusaidia kulinganisha joto la incubator yako,sasa vibapatikana ofisini kwetu mburahati barafu Dsm. Vipimo hivi vya joto na unyevu vimetolewa maalumu kubaini unyevu ba joto bdani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uandaaji na Uoteshaji wa Mbegu za Mitiki

Utangulizi Mbegu za mitiki zinapatikana Tanzania Tree Seed Agency wako Msamvu Morogoro.Kilo moja ya mbegu za mitiki inatosha kuotesha kwenye shamba la hekta moja, ambayo ni wastani... Uandaaji na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUTUMIE TUTUMIE RASILIMALI YA GESI NA PETROLI KUINUA KILIMO

TUTUMIE RASILIMALI YA GESI NA PETROLI KUINUA KILIMO​ Kwanza tumshukuru mungu kwa kuwa tumezaliwa katika nchi nzuri ya Tanzania yenye amani na utulivu, nchi ambayo watu wake ni... TUTUMIE TUTUMIE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tutumie rasilimali ya gesi na Petroli kuinua Kilimo

TUTUMIE RASILIMALI YA GESI NA PETROLI KUINUA KILIMO​ Kwanza tumshukuru mungu kwa kuwa tumezaliwa katika nchi nzuri ya Tanzania yenye amani na utulivu, nchi ambayo watu wake ni... Tutumie rasilimali ya...

View Article

Naomba kujua kuhusu ufugaji wa nguruwe

Habari wapendwa Samahan naomba kujua ufugaji wa nguruwe, malazi yao na matibabu yao. Pia na ufugaji wa kuku wa kienyeji yaani jinsi ya kumnyang`anya vifaranga,na je nifanye hivo vikiwa vina umri gani?...

View Article

Nimefarijika sana na site hii, naomba ushauri wa mazao ya muda mfupi Fukayosi!

Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya business! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums. Leo nimefarijika sana kuja...

View Article


Biashara ya Nguo za Mitumba

Habari wana Jamii! Niko US nataka sana kuanzisha biashara ya mitumba , ningependa kuuza marobota. Sasa basi kama kuna mwanaJamii anahusika na hii biashara ningependa kujua yafuatayo: - Robota la grade...

View Article


Napataje kuku anayetaga mayai zaidi ya 1 kwa siku!?

Wakuu ninahitaji kuku wanaotaga mayai zaidi ya moja kwa Sikh,kuna mtu alinipa contact lakini nikapoteza cm,

View Article

Mashine ya kumwagilia ile ya kurusha maji juu....

Wadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa..ziwani kabisa nategemea kiwe cha umwagiliaji ....heka tatu...changamoto iliyopo namwagiliaje ....water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.....nimewaza ile...

View Article

Dawa za kuponya magonjwa sugu na yanayosumbua binadamu

Ndugu zangu habari zenu, napenda kuwatangazia kuwa kuna dawa, virutubisho pamoja na Pads za kutoa sumu mwili, baadhi ya magonjwa tunayotibu ni pamoja na: 1. PRESSURE (BP ) 2. KISUKARI 3. U.T.I 4....

View Article

Natafuta soko la choroko Kanda ya ZIwa

Habari wakuu. Ninatafuta soko la choroko la uhakika au wanunuzi wa choroko wanaopatikana kanda ya ziwa, mimi niko Bariadi na nalima ekari sita za choroko, naomba pia mwenye ujuzi wa bei. Yaani kilo...

View Article


Dawa za kuponya magonjwa sugu na yanayosumbua binadamu

View Article

Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Jamani habarini za wikiendi, naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake? Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi...

View Article


Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadau

KILIMO BORA CHA UFUTA Ufuta (sesamum indicum)ni zao linalolimwa kwa wingi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga na ukanda wa chini katika mikoa ya Rukwa na Mbeya. Zao...

View Article

Kilimo cha matunda

Nataka kuanzisha KILIMO cha kisasa cha matunda aina ya passion je kwa waliolima hivi kinalipa?

View Article


Red kidney Beans

30,000MT of Red Kidney Beans needed. Is there any Seller out there? PM with price and terms of sale

View Article

Nitapata wapi Tractor la kukodisha.

Nipo mwanza ninahitaji kutengeneza shamba la kama heka 3. Ningependa kulima kwa tractor. Wadau nisaidie hapa mwanza maeneo ya nyegezi tractor nitapataje?

View Article

German shepherd anatafutwa

natafuta german shepherd wa ukweli...mdogo nitakae kua nae...breed ya ukweli....kama kuna mwenye contacts please nipatie.

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>