Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Natafuta shamba kwa ajili ya ufugaji kuku

Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo. Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji...

View Article


Naomba ushauri kuhusu Duka la vifaa vya umeme

View Article


Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana

Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana kwa wingi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza shilingi za kitanzania elfu 15 tu.Agiza na uletewe popote ulipo ndani ya Dar es Salaam. 0788-407407

View Article

KILIMO CHA MPUNGA

Hello... Khabar zenu wapendwa.. Nina shamba la ecre nne lipo bagamoyo.. Maji yake yanafika magotini.. Je linafaa kwa kilimo cha mpunga??.. Na je... Ni mbegu gan nitumie??..

View Article

Makadirio ya mradi wa kilimo cha mpunga

Naomba ushauri jinsi ya kuanzisha shamba dogo la kilimo cha mpunga; maelezo yangu ya awali ni kama ifuatavyo lengo ni kujiongezea kipato eneo ni eka 2.5 aina ya mbegu : za muda mfupi zinazonukia , kwa...

View Article


Zijue Mbinu zangu: Ufugaji Kuku wa Kienyeji

Wana Jf, Kuna maandiko mengi JF ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu wadau wa JF mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga...

View Article

Mvua ya Samaki huko Thailand, tazama picha.

View attachment 340989 View attachment 340990 View attachment 340988 View attachment 340987 Wataalam hivi inawezekana?

View Article

Naweza kufanya kilimo cha mpunga kwenye shamba hili? Ushauri tafadhali

Hello... Khabar zenu wapendwa.. Nina shamba la ecre nne lipo bagamoyo.. Maji yake yanafika magotini.. Je linafaa kwa kilimo cha mpunga??.. Na je... Ni mbegu gan nitumie??..

View Article


Ni kwa wafugaji/wanaotaka kuanzisha mradi wa ufugaji kuku

Ndugu wana jamii forum, sasa ni wakati wa kuacha kulalamika, tunapaswa kujituma na kupiga kazi kwa bidii. Vijana graduates kutoka vyuo mbalimbali tuwaze zaidi kwenye kujiajiri kuliko kuajiriwa,...

View Article


Napataje kuku anayetaga mayai zaidi ya 1 kwa siku!?

Wakuu ninahitaji kuku wanaotaga mayai zaidi ya moja kwa Siku,kuna mtu alinipa contact lakini nikapoteza simu.

View Article

Listi ya fursa za biashara na miradi mbalimbali nchini Tanzania

1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha. 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Ufundi, Website updating/Database: Katika... Listi ya fursa za...

View Article

Michungwa inayoweza kuzaa machungwa 4000 kwa kila mchungwa

habari wanaJF Nashkuru muda mrefu umepita tangu nitoe thread yangu ya kuhusu kilimo cha michungwa inayojulikana kwa "tathmini ya mapato ya michungwa" Nimekua nikipokea simu na message na e-mail kutoka...

View Article

Msaada wa taarifa za mashamba ya kukodi Ruvu

Wadau naombeni mnipe mustakabali naitaji kufanya ujasiriamali wa kilimo , Ruvu ni sehemu watu wanalima sana hasa hizi mboga mboga na matikikti je kuna mtu anaweza nipa contact za mwenyeji mmoja...

View Article


Msaada: Nataka kukodi mashamba ruvu

Wakuu nataka kufanya ujasiliamali wa kilimo , ila sina mwenyeji ruvu nataka kuanza na kukodi shamba ili nilime tikiti maji na mboga mboga any idea zitakazosaidia , Contact za mwenyeji yoyote kule asanteni

View Article

Mazao ya kulima kwa mkoa wa Kilimanjaro

Habari, waheshimiwa naomba msaada kwa wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro natarajia kuhamia mkoani humo kwenye mwezi wa 5. Naomba kujua mazao yanayolimwa katika mkoa huo pamoja na upatikanaji wa mashamba....

View Article


Natafuta eneo la kuweka car wash - dar es salaam

Habari za leo wana JF! Mimi na mwenzangu tunataka kuanzisha biashara ya Car Wash, tayari tumeagiza vifaa na vitakuwa nchini mapema mwezi February au March. Bado tunahangaika kupata eneo kwa ajili ya...

View Article

Natafuta mshauri wa kilimo hapa DSM tutalipana kwa makubaliano maalum

HELO HABARI WAJASIRIAMALI WENZANGU Nataka kuanza kilimo cha mazao kadhaa especialy ya matunda kama maembe, mapapai na ya mboga mboga kama bamia, pilipili, nyanya etc sasa sitaki kutumia kilimo cha...

View Article


Msaada: Jinsi bora ya kutunza na kusindika maziwa ya ng'ombe

Wakuu nahitaji kujua njia ya kisasa au yoyote ile ya kutunza maziwa Fresh ya ng'ombe kienyeji bila kuharibika. msaada tafadhali

View Article

ANAYEFAHAMU KILIMO CHA MTI WA MWAROBAINI KAMA MTI WA MBAO TUKUTANE HAPA

Nina Shamba la hekari 20 kilosa morogoro nataka kulima mwarobaini Kama mti wa mbao mwenye uelewa karibu tuchangiane mawazo. Nawasilisha

View Article

Jinsi ya kutengeneza dawa ya chooni 'Jasimini"

Heshima kwenu wadau. Naomba masada wenu kama kuna yeyote anayejua jinsi ya kutengeneza JASIMINI ile ya kusafishia chooni. _natanguliza shukrani

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>