HELO HABARI WAJASIRIAMALI WENZANGU
Nataka kuanza kilimo cha mazao kadhaa especialy ya matunda kama maembe, mapapai na ya mboga mboga kama bamia, pilipili, nyanya etc sasa sitaki kutumia kilimo cha kubahatisha, nahitaji mtu mtaalamu ambae atanishika mkono kuanzia ushauri wa mazao yanayolipa vizuri na mpaka magonjwa mpaka soko, then tutalipana kutokana na makubaliano maalumu.
Naamini baada ya msimu mmoja nitakuwa kwenye position nzuri ya kuendelea mwenyewe kwa kiasi fulani. Tafadhali mwenye...
Natafuta mshauri wa kilimo hapa DSM tutalipana kwa makubaliano maalum
Nataka kuanza kilimo cha mazao kadhaa especialy ya matunda kama maembe, mapapai na ya mboga mboga kama bamia, pilipili, nyanya etc sasa sitaki kutumia kilimo cha kubahatisha, nahitaji mtu mtaalamu ambae atanishika mkono kuanzia ushauri wa mazao yanayolipa vizuri na mpaka magonjwa mpaka soko, then tutalipana kutokana na makubaliano maalumu.
Naamini baada ya msimu mmoja nitakuwa kwenye position nzuri ya kuendelea mwenyewe kwa kiasi fulani. Tafadhali mwenye...
Natafuta mshauri wa kilimo hapa DSM tutalipana kwa makubaliano maalum