Jinsi ya kugandisha maziwa ya mgando ili yasitengane na maji
Waungwana habari za leo. kwa wale wafugaji wa ng'ombe na wajuzi wa maziwa, naomba kujulishwa njia nzuri ya kugandisha maziwa ambayo hayatajitenga na maji. kwa sasa nagandisha maziwa kwa kuyachemsha afu...
View ArticleNitumie viuatilifu gani kupalilia mahindi?
Wakuu habar za jioni! nahitaji msaada wa dharura kwa wenye uzoefu. Naomba kujulishwa ni aina gani ya kiuatilifu naweza tumia kupalili mahindi ambacho kinaangamiza ndago na nyasi?, nilitumia 2,4 D...
View ArticleKilimo cha umwagiliaji
Wanajamvi Habari za mihangaiko ya kupambana na maisha. Naomba msaada wa taarifa ninapoweza kupata drippers kwa ajili ya Kilimo cha bustani eneo la ekari mbili
View ArticleMsaada juu ya mbegu za mahindi,
Habari zenu wakuu, naomba kupata muuongozo juu ya swala lifuatalo, shambani kwangu nimefunga mfumo wa umwagiliaji kwenye hekari moja na makusudio yangu ilikuwa ni kupanda tikitimaji ila niliingia hofu...
View ArticleNinawezaje kupata TRADEMARK ya logo yangu
Wakuu naombeni mnisaidie utaratibu wa kuweza kupata trademark ya logo yangu pale Brela.kwa mtu yeyote anaweza kuniambia procedure za kupata trademark maana nimeenda brela naona wananizingua tu
View ArticleNitapata wapi Tractor la kukodisha.
Nipo mwanza ninahitaji kutengeneza shamba la kama heka 3. Ningependa kulima kwa tractor. Wadau nisaidie hapa Mwanza maeneo ya Nyegezi tractor nitapataje?
View ArticleNjoo tujadili namna ya kutengeneza zaidi ya mil 100 ndani ya mwaka mmoja
Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa! Rejea kichwa hapo juu! Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo kuanzia...
View ArticleUshauri kuhusu kilimo cha mpunga
Nahitaj ushaur wenu.. . Ni shamba la ekari ngap naweza kutoa gunia 100 la mpunga au gunia 90 za mchele??
View ArticleHawa ng'ombe wanapatikana mkoa gani?
Wakuu natafuta ng'ombe kama hawa kwa ajili ya mradi wangu wa ufugaji, ila sijui naweza kuwapata wapi Tanzania. View attachment 338794
View ArticleBenki ya Kilimo yajizatiti kusaidia upatikanaji wa Masoko nchini
View attachment 333596 Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imedhamiria kusaidia upatikanaji wa Masoko ili kuongeza Mapinduzi yenye tija katika Sekta ya Kilimo nchini ili kuchagiza na kusaidia...
View ArticleNi mashine ipi nzuri kwa umwagiliaji?
Habari zenu ndugu wapiganaji wenzangu!! Nataka kununua mashine kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji, naomba ushauri wenu ni mashine ipi itanifaa..na pia ni vitu gani ambavyo inabidi niviangalie kabla ya...
View ArticleMradi wa utotoleshaji wa vifaranga unalipa
Kampuni yetu ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD iliitwa kwa ajili ya kumshauri mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa na wazo la kufuga kuku wa asili walioboreshwa kama sehemu ya kazi yake ya ziada. Alitaka...
View ArticleKilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na masoko
Wakuu salamu. Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji....
View ArticleUnataka kuwa tajiri? - Mwongozo kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji
Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili...
View ArticleKilimo na Soko la Bamia
Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo: 1) Mbegu bora zinapatikana wapi? 2) Zinachukua muda gani kukomaa? 3) Masoko yake yako wapi? 4) Bei ya kuuza inakwendaje? Asanteni.
View ArticleTour fupi ya shamba langu la greenhouse
Habari za asubuhi. Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya...
View ArticleWakulima wa Matunda wanahitajika
Wadau habari zenu. Niko kwenye mchakato wa kuanzisha biashara itakayo hitaji ushirikiano na wakulima wa matunda aina mbali mbali kama vile; Maembe mananasi tikiti maji strawberries blueberries ndizi...
View ArticleShamba linauzwa
Wanajamvi napenda kuwajulisha kwamba, kwa wale wanaopenda kutumia fursa ya kilimo (kuwekeza katka kilimo) lipo shamba linauzwa kwa bei rafiki ya shilingi 400000 za kitanzania kwa kila heka moja. Shamba...
View ArticleMsaada wa ushauri unatosha kuniokoa katika hili
Habari za majukumu wapendwa! Nahitaji kupata ushauri wenu wa kimawazo nimenunua eneo dogo tu lenye urefu wa mita 54 na upana wa mita 24 nahitaji kufanya kilimo cha kisasa cha mbogamboga au matunda eneo...
View ArticleBiashara ya upandaji wa miti ya mbao
Mimi nigependa kuwahamasisha wanJF kupanda miti ya mbao hasa mbao nyeupe (pines and cypress). Miti hii inasitawi sana sehemu za nyanda za juu kusini. Mimi nilianza kupanda miti hii kama miaka kumi...
View Article