![[IMG]]()
Habari za majukumu wapendwa! Nahitaji kupata ushauri wenu wa kimawazo nimenunua eneo dogo tu lenye urefu wa mita 54 na upana wa mita 24 nahitaji kufanya kilimo cha kisasa cha mbogamboga au matunda eneo liko na maji ya kutosha kwa muda wa mwaka mzima plz wenye kuwa na ushauri naomba ushauri wenu nini nifanye katika eneo hili ili niweze kujiingizia kipato,eneo nililopo ni Serengeti mkoa wa Mara kuhusu...
Msaada wa ushauri unatosha kuniokoa katika hili