Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Red kidney Beans

30,000MT of Red Kidney Beans needed. Is there any Seller out there? PM with price and terms of sale

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

Ni pamp inayo faa kwa kilimo na ufugaji wa samaki kwani ina uwezo wa kuvuta maji kwa kiwango kikubwa hadi lita 800 kwa dakika . Namb 0657 139511/0768092950

View Article


Soko la Kunde, Mbaazi na Choroko

Wadau napenda kufahamu soko la mbaazi,kunde na choroko daresalamu maana ninampango nianze biashara hiyo kwa kununua choroko kutoka mtwara na kusafirisha dar naitaji mwenye ufahamu wa soko na hata...

View Article

Kumuasi mbwa (Castration)

Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi. Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje Msaada please matusi ayaitajiki

View Article

Ninahitaji nyanya nyingi sana directly from shambani

habari za wakati huu ndugu wana jamii. ninahitaji kununua nyanya nyingi sana moja kwa moja kutoka shabani kisha ninasambaza kwa wafanyabiashara wadogowadogo wa huku singida mjini. soko tayari ninalo...

View Article


Ipi tiba ya machungwa kupasuka mtini?

Habari zenu wakuu, mimi Nina shamba nje ya jiji la dar( Mkoa wa pwani) nimepanda michungwa ya kutosha eneo karibu lote! Kitu kilichafanya niombe ushauri ni kuwa Mchungwa unatoa matunda mengi tu, lakini...

View Article

Mikutano ya Kibiashara

MIKUTANO YA BIASHARA - Maonesho ya Saba Saba AgriProFocus Tanzania ikishirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tan Trade) inaandaa mikutano ya kibiashara itakayofanyika tarehe 2 hadi 6...

View Article

Kilimo cha Viazi Mviringo (Viazi Ulaya) na masoko yake

Kwa mwana JF yeyote mwenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha viazi naomba anipe detail kuhusu kilimo hicho. Yaani kwa mfano, nikitaka kulima hekari moja natakiwa kuwa mtaji wa kiasi gani? Na vipi namna ya...

View Article


Zainab's Natural Super Clay

Tunatafuta wajasiriamali wa kununuwa na kusambaza Zainab's Natural Super Clay. Ukitaka kujuwa Zainab's Natural Super Clay ni nini, pitia hapa: Kwa Wanaume na Wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uandaaji na Uoteshaji wa Mbegu za Mitiki

Utangulizi Mbegu za mitiki zinapatikana Tanzania Tree Seed Agency wako Msamvu Morogoro.Kilo moja ya mbegu za mitiki inatosha kuotesha kwenye shamba la hekta moja, ambayo ni wastani... Uandaaji na...

View Article

Ufugaji wa kisasa wa samaki: Utaalamu na Masoko

Tujifunze kuhusu ufugaji wa samaki wa kisasa ambao hufanyika kwenye mabwawa ya kuchimbwa au visima na vitu vingine vinavofanana na hivyo. Kuna aina nyingi za samaki wa maji baridi ambao wanaweza...

View Article

Ushauri kuhusu kilimo cha mpunga

Nahitaj ushaur wenu.. . Ni shamba la ekari ngap naweza kutoa gunia 100 la mpunga au gunia 90 za mchele??

View Article

Biashara ya kusaga, kupack na kusambaza unga

Wadau. Nimeisha anza mchakato wa hiyo kitu kwa maana ya jengo ambayo mi nimeiita phase one sasa ndo najipanga kuezeka. Phase two ni kununua machines ambazo ni full set kusaga na kukoboa pamoja na...

View Article


Nina toa ushauri kwenye kilimo cha alizeti, mbaazi, maharage na mahindi

Nawakaribisha wale wote wanaopenda kufahamu kuhusu, kilimo cha Alizeti, Mbaazi, Maharage, Mtama na Mahindi. Naomba tuwasiliane kupitia JamiiForums.

View Article

Biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa Tshs. 100,000/= tu?

Wataalam wa biashara naomben ushaur wa biashara nnyoweza kuifanya kwa mtaj wa lak 1.

View Article


Manufaa ya Ujasiliamali kwa njia ya mtandao

Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa...

View Article

Sababu 14 kwanini biashara yako inahitaji kuwa na nembo, na vingine vya...

Sababu 14 kwanini biashara yako inahitaji kuwa na nembo na vingine vya kutafutia masoko. Leo nitatoa sababu chahche kwanini biashara yako inahitaji hivyo vyote ili ifanikiwe kibiashara. Ukiviangalia...

View Article


Jinsi ya kutengeneza dawa ya chooni 'Jasimini"

Heshima kwenu wadau. Naomba masada wenu kama kuna yeyote anayejua jinsi ya kutengeneza JASIMINI ile ya kusafishia chooni. _natanguliza shukrani

View Article

Unataka kuwa tajiri? - Mwongozo kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji

Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili...

View Article

Kilimo cha Dengu

Habari Wakuu Nilipitia maonesho ya nane nane mwaka huu na moja ya kilimo kilichonivutia ni kilimo cha Dengu na Conflower/Brocolli. Mazao haya yana soko kubwa sana nje ya nchi hasa India kwa Dengu na...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>