Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7825

Ipi tiba ya machungwa kupasuka mtini?

$
0
0
Habari zenu wakuu, mimi Nina shamba nje ya jiji la dar( Mkoa wa pwani) nimepanda michungwa ya kutosha eneo karibu lote!
Kitu kilichafanya niombe ushauri ni kuwa Mchungwa unatoa matunda mengi tu, lakini cha ajabu yanapoanza kukomaa yanapasuka katikati na kuanza kuoza, je Hii kitu kwanza inasababishwa na Nini? Pili je, tiba ya tatizo hilo ni Nini?
Naombeni tupeane uzoefu wakuu!

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7825

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>