MIKUTANO YA BIASHARA - Maonesho ya Saba Saba
AgriProFocus Tanzania ikishirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tan Trade) inaandaa mikutano ya kibiashara itakayofanyika tarehe 2 hadi 6 Julai 2016 kwenye maonesho ya 40 yaKimataifa ya Biashara (maarufu kama saba saba) Dar Es Salaam. Mikutano hii italenga sekta zifutazo:
· Mifugo – Kuku na Ng’ombe wa maziwa
· Asali
· Mboga mboga na matunda (Chillies, Nutmeg, Cloves, Black pepper, Tomatoes, Watermelons,...
Mikutano ya Kibiashara
AgriProFocus Tanzania ikishirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tan Trade) inaandaa mikutano ya kibiashara itakayofanyika tarehe 2 hadi 6 Julai 2016 kwenye maonesho ya 40 yaKimataifa ya Biashara (maarufu kama saba saba) Dar Es Salaam. Mikutano hii italenga sekta zifutazo:
· Mifugo – Kuku na Ng’ombe wa maziwa
· Asali
· Mboga mboga na matunda (Chillies, Nutmeg, Cloves, Black pepper, Tomatoes, Watermelons,...
Mikutano ya Kibiashara