Habari zenu ndugu wapiganaji wenzangu!!
Nataka kununua mashine kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji, naomba ushauri wenu ni mashine ipi itanifaa..na pia ni vitu gani ambavyo inabidi niviangalie kabla ya kuamua kuwa ni mashine ipi niitumie!!
asante.
Nataka kununua mashine kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji, naomba ushauri wenu ni mashine ipi itanifaa..na pia ni vitu gani ambavyo inabidi niviangalie kabla ya kuamua kuwa ni mashine ipi niitumie!!
asante.