Habari wapendwa
Samahan naomba kujua ufugaji wa nguruwe, malazi yao na matibabu yao.
Pia na ufugaji wa kuku wa kienyeji yaani jinsi ya kumnyang`anya vifaranga,na je nifanye hivo vikiwa vina umri gani?
Naitwa Moi Mwakye kutoka Mbeya.
Samahan naomba kujua ufugaji wa nguruwe, malazi yao na matibabu yao.
Pia na ufugaji wa kuku wa kienyeji yaani jinsi ya kumnyang`anya vifaranga,na je nifanye hivo vikiwa vina umri gani?
Naitwa Moi Mwakye kutoka Mbeya.