Kutokana na ongezeko la maswali ya wadau wengi juu ya ufugaji wa kuku aina hii, tumeonelea ni vema tukauweka mjadala huu vema kuweza kuwasaidia wafugaji na wanunuaji wa vifaranga/kuku wa aina hii.
Kuku aina ya KUCHI, ni wale ambao wanawauza kwa shilingi 200,000 hadi zaidi kwa kuku mmoja. Pamoja na kuwa kuku hawa wanaonekana kama wa kawaida, lakini si kama kuku wale tunaowafahamu; mbegu (breed) aina hii ya kuku huwa ni nadra sana kupatikana katika soko.
Ni kuku wakubwa kwa umbo, warefu...
Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania
Kuku aina ya KUCHI, ni wale ambao wanawauza kwa shilingi 200,000 hadi zaidi kwa kuku mmoja. Pamoja na kuwa kuku hawa wanaonekana kama wa kawaida, lakini si kama kuku wale tunaowafahamu; mbegu (breed) aina hii ya kuku huwa ni nadra sana kupatikana katika soko.
Ni kuku wakubwa kwa umbo, warefu...
Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania