Asalaam wanaJf, muda mrefu nimekuwa na wazo la kuanzisha mradi unaohusiana na nafaka. Kwa sasa wazo lililotawala kichwa changu ni kununua mashine inayotumia umeme ya kukoboa na kusaga nafaka. Nimejaribu kuuliza huku na kule wengine wananikatisha tamaa lakini wazo langu liko palepale. Tafadhali kwa mwenye kuelewa gharama halisi na namna ya kuanzisha biashara hii naomba msaada wako! Daima Jf ni kisima cha maarifa! karibuni sana
↧