Za asubuhi ndugu zangu, natumaini mmeamka salama,
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo nahisi ndo kitu ambacho kitanifanya nifikie malengo yangu, nimeajiriwa lakini kila kukicha naona sifiki pale ninapopataka na akili yangu inawaza kilimo tu, natamani nilime mazao aina tatu, nayo ni VITUNGUU,TIKITI MAJI NA NYANYA lakini kwa njia ya GREENHOUSE, nimeulizi gharama za greenhouse nimeambiwa ni TSH.million 5 ikijumuisha kuchimbiwa kisima,Pampu ya kuvuta maji n.k,...
Msaada: Nataka kuwa Mkulima
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo nahisi ndo kitu ambacho kitanifanya nifikie malengo yangu, nimeajiriwa lakini kila kukicha naona sifiki pale ninapopataka na akili yangu inawaza kilimo tu, natamani nilime mazao aina tatu, nayo ni VITUNGUU,TIKITI MAJI NA NYANYA lakini kwa njia ya GREENHOUSE, nimeulizi gharama za greenhouse nimeambiwa ni TSH.million 5 ikijumuisha kuchimbiwa kisima,Pampu ya kuvuta maji n.k,...
Msaada: Nataka kuwa Mkulima