Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Mafunzo ya kilimo cha matikiti na Kilimo Joint Tanzania

Kilimo Cha Tikiti. Je unataka kujitunza kuhusu kilimo cha matikiti? wasiliana nasi kwenye Whatsapp namba 0683556677 Kwa ada ya shilingi elfu mbili tu uweze kuunganishwa kwenye group. Kumbuka ada hii ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uandaaji na Uoteshaji wa Mbegu za Mitiki

Utangulizi Mbegu za mitiki zinapatikana Tanzania Tree Seed Agency wako Msamvu Morogoro.Kilo moja ya mbegu za mitiki inatosha kuotesha kwenye shamba la hekta moja, ambayo ni wastani... Uandaaji na...

View Article


Biashara ya Ufugaji wa Kuku wa kienyeji na Masoko yake

Nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji, bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje. Kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri, pros and cons etc. By the way, nimeanza na Jogoo mmoja, ila...

View Article

Njoo tujadili namna ya kutengeneza zaidi ya mil 100 ndani ya mwaka mmoja

Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa! Rejea kichwa hapo juu! Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo kuanzia...

View Article

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Naomba mwenye kujua nitapoweza kupata vifaranga wa kienyeji aina ya kuchi. Nahitaji kama 40.

View Article


Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake,...

Habari zenu wanajamvini, Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga. Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana,...

View Article

Unataka kuwa tajiri? - Mwongozo kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji

Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili...

View Article

Natafuta mbegu bora ya Mbuzi na Ng'ombe chotara wa nyama

Kama kichwa kinavyojieleza, naomba tuwasiliane kwa namba hii 0629141259

View Article


Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Wadau, Poleni kwa kazi. Nina maswali mawili ambayo ninaomba mnisaidie 1. Nimekuwa nikijaribu kufuatilia kanuni za ufugaji bora wa Sungura katika maeneo ya joto kama DSM. Nimevutiwa sana na ufugaji huu,...

View Article


Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na masoko

Wakuu salamu. Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji....

View Article

Zijue Mbinu zangu: Ufugaji Kuku wa Kienyeji

Wana Jf, Kuna maandiko mengi JF ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu wadau wa JF mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga...

View Article

Kama wwe ni mjasiriamali, hili hutolipita!!

Habari ndugu. Kuna jambo la msingi ninapaswa kukujuza. Tumeunda group la wajasiriamali la telegram coz tuliunda la whatsapp na lilijaa so tumehamia telegram inayochukua watu wengi zaidi na hakika watu...

View Article

Kama wewe ni mjasiriamali, hili hutolipita!!

Habari ndugu. Kuna jambo la msingi ninapaswa kukujuza. Tumeunda group la wajasiriamali la telegram coz tuliunda la whatsapp na lilijaa so tumehamia telegram inayochukua watu wengi zaidi na hakika watu...

View Article


Msaada wa Vifaranga vya Kuku wa Mayai

Wadau, Salaam, Naomba msaada wa jinsi ya kupata vifaranga vya kuku wa mayai. Mimi nipo Dar Es Salaam, natanguliza shukrani za dhati.

View Article

Hii Ndio Namna Bora ya kuanza Mradi wa Nguruwe

Kwa kuwa nna uzoefu wa kuendesha mradi wa nguruwe kwa mafanikio,watu wengi huulizia watoto wa nguruwe(piglets) kwa ajili ya kuanza mradi huo.Lakini hiyo sio namna nzuri kiuchumi.Namna sahihi kama...

View Article


Ushauri wa kanuni bora za kilimo cha Migomba na Soko lake

MIGOMBA - KANUNI ZA KILIMO BORA Hapa Tanzania kilimo cha migomba kimekuwepo Kwa miaka mingi. Kilimo hiki ni maarufu sana kwa sababu zao la ndizi limekuwa likitumika kama chakula kikuu kwa baadhi ya...

View Article

MASHAMBA MOROGORO

Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pata ushauri wa kitaalam juu ya kilimo cha Mapapai

Wana JF, nataka kufanya kilimo cha mapapai ila nahitaji mbegu za muda mfupi kuzaa ili nianze kuvuna mapema. Naomba msaada wa yafuatayo 1 Wapi nitapata mbegu fupi za muda mfupi kuanza kuzaa? 2....

View Article

Mashine ya kumwagilia ile ya kurusha maji juu....

Wadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa..ziwani kabisa nategemea kiwe cha umwagiliaji ....heka tatu...changamoto iliyopo namwagiliaje ....water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.....nimewaza ile...

View Article

Mashamba Morogoro

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>