Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live

Wewe ni mfugaji? Uliza swali lolote la kitaalam nikusaidie

We ni mfugaji na una swali lolote la kitaalamu linakutatiza uliza. Asante.

View Article


Natafuta soko la vitunguu

Kwa anaehitaji vitunguu ananichek, ni kama gunia 50 red onions nipo moshi vimekomaa vizuri shambani tayari kwa kuvunwa, Mawasiliano 0767525054 bei maelewano.

View Article


Kilimo na Soko la Bamia

Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo: 1) Mbegu bora zinapatikana wapi? 2) Zinachukua muda gani kukomaa? 3) Masoko yake yako wapi? 4) Bei ya kuuza inakwendaje? Asanteni.

View Article

Je wazo langu hili likoje?

Mambo vp wana Jf? Mtu mmoja alisema kila kitu hapaduniani kishafanywa ila wewe fanya lakini fanya kwa uzuri yaani “DO IT BETTER” Siku moja niliamua kwenda gulioni kununua Shuka kwa ajili yakutandika...

View Article

Jiunge nasi on Whatsapp Tangaza Business Solutions

Habari zenu Wakuu jukwaani: Napenda kuwakaribisha Wadau wote mlio Jamii Forum kujiunga nasi on Whasapp ktk group la Wajasiriamali, Wafanyabiashara na Wadau wengine mbali mbali Whatsapp on Tangaza...

View Article


Tathmini Ubora huu Kabla ya Kunipa kazi na Kupata Ofa Kibao za Bure

Kwa Kila kazi moja ya kutengeneza Logo au Package Design utakayofanya na mimi Utapata offer ya bure ya 1. Proforma Invoice Templat 2. Tax Invoice Template 3. Delivery note template 4. Headed Paper...

View Article

Msaada kuhusu vifaranga vya kuku wa kienyeji

wana jf poleni na mihangaiko ya maisha na natumaini nyote wazima. Naomba msaada mwenye kujua sehemu ambapo wanauza vifaranga vya kuku wa kienyeji au machotara(nasikia nao wanafafana kitabia na wa...

View Article

Ushauri mashamba ya miti??

Nina wazo la kuinvest kwenye mashamba ya miti ya mbao au milingoti, mwenye uzoefu kwenye sekta hii naomba ushauri namna ya kuanza, gharama za mwanzo hasa kwa anaenza small scale maeneo ya iringa na...

View Article


Msaada wa wauzaji wa standing freezer

Habari, nimefanya biashara ya barafu kwa fridge za home naona zimenikolea. Sasa mwaka huu nataka kutanua biashara ninunue standing freezer. Je kama kuna MTU anayauza/ au anafahamu brand nzuri? Nb....

View Article


Fahamu biashara ya rifaro

Habari <br />Watu wengi wanasikia hii company lakini hawaifahamu ..wengi husema ni deci wengi husema ni utapeli lakini hakuna ukweli juu ya hayo yote sasa ni wakati wako Wa kupata Fursa ya...

View Article

Mtaji wa milioni 1-5: Naweza kufanya Biashara gani?

Wakubwa nina mtaji wa shilingi milioni mbili na nataka nifanye biashara. Je, biashara gani ninaweza kufanya kulingana na pesa hiyo? Nimetafakari sana ila nakosa kujua kwa usahihi biashara gani...

View Article

NATAFTA GARI YA KUNUNUA USED

Natafta gari ya kununua toyota carina t.i. Au Escudo ila namba yake usajil tz ianzie na C au D.

View Article

Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Jamani habarini za wikiendi, naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake? Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi...

View Article


Vitabu Hivi Vya Kilimo Vinatafutwa..!

Wakuu habari ya leo, Naomba anayejua au aliyenavyo vitabu vya kilimo cha. -kitunguu -nyanya chungu -Pili pili Anielekeze vinakopatikana au ani PM tuongee Biashara kama anavyo

View Article

Jifunze kutengeneza sabuni

Ili iitwe sabuni inatakiwa -Ngumu kuiisha -Yenye povu jingi -Nyeupe VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni 1)Mafuta-mawese,mise,wanyana 2)Maji 3)Caustic soda(costiki soda) VIFAA VYA KUTENGENEZEA -Ndoo za...

View Article


Nataka kununua shamba Rufiji

Ndugu.wasalaam.. Mimi ni kjana ambae natafuta maisha kupitia kilimo. Ndugu wanajamiiforum nmekuja hapa kwenye hii forum kuulizia mwenye information ya kupata mashamba huko Rufiji na wanauzaje kwa heka....

View Article

upandaji wa miti

Wakuu habari Kwa anaehitaji shamba kwa ajili ya kupanda miti mkoani iringa wilaya ya mufindi mashamba yapo yanapatikana kwa bei 130000 mpaka 120000 kwa ekari moja kutokana na eneo shamba lilipo...

View Article


Biashara ya upandaji wa miti ya mbao

Mimi nigependa kuwahamasisha wanJF kupanda miti ya mbao hasa mbao nyeupe (pines and cypress). Miti hii inasitawi sana sehemu za nyanda za juu kusini. Mimi nilianza kupanda miti hii kama miaka kumi...

View Article

Kumuasi mbwa (Castration)

Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi. Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje Msaada please matusi ayaitajiki

View Article

Nahitaji Majogoo ya Kisasa ili Nipate Vifaranga Chotara

Habari wakuu, Nahitaji majogoo wa kisasa ili wapande kuku wa kienyeji kupata vifaranga chotara. Kwa mwenye nao hasa maeneo ya Mwanza anijulishe tafadhali ili niweze kununua kutoka kwake.

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>