Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo:
1) Mbegu bora zinapatikana wapi?
2) Zinachukua muda gani kukomaa?
3) Masoko yake yako wapi?
4) Bei ya kuuza inakwendaje?
Asanteni.
1) Mbegu bora zinapatikana wapi?
2) Zinachukua muda gani kukomaa?
3) Masoko yake yako wapi?
4) Bei ya kuuza inakwendaje?
Asanteni.