Ndugu.wasalaam..
Mimi ni kjana ambae natafuta maisha kupitia kilimo.
Ndugu wanajamiiforum nmekuja hapa kwenye hii forum kuulizia mwenye information ya kupata mashamba huko Rufiji na wanauzaje kwa heka. Nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji...
Kama hutojali PM unisaidie kijana wa kitanzania anaetafuta pesa kihalali na sio vinginevyo..
Asanteni sana kwa kunielewa!
Mimi ni kjana ambae natafuta maisha kupitia kilimo.
Ndugu wanajamiiforum nmekuja hapa kwenye hii forum kuulizia mwenye information ya kupata mashamba huko Rufiji na wanauzaje kwa heka. Nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji...
Kama hutojali PM unisaidie kijana wa kitanzania anaetafuta pesa kihalali na sio vinginevyo..
Asanteni sana kwa kunielewa!