Kwa kuwa nna uzoefu wa kuendesha mradi wa nguruwe kwa mafanikio,watu wengi huulizia watoto wa nguruwe(piglets) kwa ajili ya kuanza mradi huo.Lakini hiyo sio namna nzuri kiuchumi.Namna sahihi kama unataka kifuga kibiashara ni kuanza na nguruwe wenye mimba!
SOMA HAPA UELEWE!Tutazungumzia chakula hapa kwa kuwa ndio gharama kubwa!
1.ukianza na piglet wa wiki 8,utamnunua kwa 60,000,
-week 4 za mwanzo atakula wastani wa 1kg/siku.Chukulia chakula 300/kg then jumla itakuwa =4x7x1x300=8,400
-kama...
Hii Ndio Namna Bora ya kuanza Mradi wa Nguruwe
SOMA HAPA UELEWE!Tutazungumzia chakula hapa kwa kuwa ndio gharama kubwa!
1.ukianza na piglet wa wiki 8,utamnunua kwa 60,000,
-week 4 za mwanzo atakula wastani wa 1kg/siku.Chukulia chakula 300/kg then jumla itakuwa =4x7x1x300=8,400
-kama...
Hii Ndio Namna Bora ya kuanza Mradi wa Nguruwe