View attachment 319004
Watu wengi wana ndoto za kuacha kazi zao za kuajiriwa ili waweze kuanzisha biashara zao. Wajasiriamali wengi waliofanikiwa iliwalazimu kuendelea na kazi zao za kuajiriwa mpaka pale walipoona biashara zao zimesimama ndipo walipolazimika kuacha kazi ya kuajiriwa. Kipindi hiki cha mpito ni kigumu na chenye kuleta usumbufu hasa kama kazi hiyo ya kuajiriwa hauipendi.
Wakati tamaa ya mafanikio ni muhimu,si mara zote inatosha kukuwezeshausonge mbele kimafanikio....
Jinsi ya kujenga biashara yako ukiwa umeajiriwa
Watu wengi wana ndoto za kuacha kazi zao za kuajiriwa ili waweze kuanzisha biashara zao. Wajasiriamali wengi waliofanikiwa iliwalazimu kuendelea na kazi zao za kuajiriwa mpaka pale walipoona biashara zao zimesimama ndipo walipolazimika kuacha kazi ya kuajiriwa. Kipindi hiki cha mpito ni kigumu na chenye kuleta usumbufu hasa kama kazi hiyo ya kuajiriwa hauipendi.
Wakati tamaa ya mafanikio ni muhimu,si mara zote inatosha kukuwezeshausonge mbele kimafanikio....
Jinsi ya kujenga biashara yako ukiwa umeajiriwa