Habari wanajamvi
Nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu wapi naweza kupata rennet kwaajili ya matumizi ya kutengenezea cheese (specifically aina ya mozzarella)..
Katika pita pita zangu naona nyingi zipo kweny masoko ya mtandaoni na ingawa ni rahisi kuagiza ila top up ya gharama ya usafirishaji na ushuru vinanipa kusita kuagiza nje. Kwa yeyote mwenye know how au mwenye kujua pahala naweza nunua ndani ya Tanzania yetu hii itakuwa vyema mno..
Kuna aina mbili za rennet
-animal rennet
-vegetable...
WAPI NAWEZA PATA RENNET (KWA AJILI YA CHEESE)
Nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu wapi naweza kupata rennet kwaajili ya matumizi ya kutengenezea cheese (specifically aina ya mozzarella)..
Katika pita pita zangu naona nyingi zipo kweny masoko ya mtandaoni na ingawa ni rahisi kuagiza ila top up ya gharama ya usafirishaji na ushuru vinanipa kusita kuagiza nje. Kwa yeyote mwenye know how au mwenye kujua pahala naweza nunua ndani ya Tanzania yetu hii itakuwa vyema mno..
Kuna aina mbili za rennet
-animal rennet
-vegetable...
WAPI NAWEZA PATA RENNET (KWA AJILI YA CHEESE)