Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Ninasupply kuku wa kienyeji pure

View Article


Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadau

KILIMO BORA CHA UFUTA Ufuta (sesamum indicum)ni zao linalolimwa kwa wingi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga na ukanda wa chini katika mikoa ya Rukwa na Mbeya. Zao...

View Article


Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Jamani habarini za wikiendi, naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake? Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi...

View Article

WAPI NAWEZA PATA RENNET (KWA AJILI YA CHEESE)

Habari wanajamvi Nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu wapi naweza kupata rennet kwaajili ya matumizi ya kutengenezea cheese (specifically aina ya mozzarella).. Katika pita pita zangu naona nyingi zipo...

View Article

Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze...

Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa...

View Article


Msaada juu ya Ndago

Ni kwa bahati mbaya nilipojaza kifusi ndani ya garden yangu kumekuwa na ndagu nyingi sana. Hizi ndagu inaonekana zililetwa na hicho kifusi.Nimejaribu kuzign'oa lakini bado zipo na zimenikatisha tamaa...

View Article

Ninafuga kuku aina ya kuchi anayehitaji ninawauza

Nina kuku wa aina hiyo wa ukubwa tofauti ukitaka hata mayai yao yapo ukihitaji nijulishe

View Article

Namtafuta mtu mwenye utaalam na Matikiti maji

Ndugu habari za mihangaiko.. Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye nia ya kuona kila mmoja wetu anafanikiwa ktk malengo au kusaidiana ktk ajira ndogondogo. Tafadhali natafuta kijana mwenye ujuzi na...

View Article


Natafuta mtu makini wa kushirikiana na mimi kuwekeza katika kilimo.

Salaam Wakuu, Mimi ni kijana muhitimu wa Chuo kikuu. Katika mapambano ya kusaka mkate wa kila siku nimeona ni vema nikajikita katika kujiajiri. Naaam kujiajiri katika sekta ya Kilimo na ufugaji, sasa...

View Article


Kuku WA Nyama(Kisasa)

Habari wandugu na poleni kwa majukumu ,Naomba msaada wenu na ushauri kuhusu kuku wa kisasa wa nyama ,jinsi ya kuwafuga tangu kuwapokea siku ya kwanza hadi kufikia kuwatoa.Chonjo zote na mpangilio wote...

View Article

Naomba ushauri wa ufugaji wa kuku wa nyama(Kisasa)

Habari wandugu na poleni kwa majukumu ,Naomba msaada wenu na ushauri kuhusu kuku wa kisasa wa nyama ,jinsi ya kuwafuga tangu kuwapokea siku ya kwanza hadi kufikia kuwatoa.Chonjo zote na mpangilio wote...

View Article

Naomba msaada wa kilimo cha Azolla.

Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ? Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi. Vipi General management yake ikoje?

View Article

Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Habari za asubuhi. Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya...

View Article


Msaada kuhusu hali ya hewa ifaayo kwa Kilimo cha mitiki

Salaam wadau.Naomba kupata maelekezo kuhusu mikoa ya Tanzania ifaayo kwa Kilimo cha miti jamii ya mitiki.Je mkoa wa kagera hususan Wilaya ya Misenyi inawezekana kwa Kilimo hiki? MTU mwenye ekari moja...

View Article

Hawa ndio wachimbaji visima

Habari wa jf...Tawa Water Proffesional ni kampuni inayojihusisha na masuala ya uchimbaji wa visima virefu na vifupi kwa matumizi mbalimbali 1: kwa ajili ya matumizi ya binadamu eg. Kupikia,kunywa au...

View Article


Msaada kuhusu kilimo cha bustani kwa mtindo huu kwenye picha

View attachment 346518

View Article

Wanunuzi wa Mbaazi wa AZAM

Wana Jf nauza mbaaz kuna mtu aliniambia kuwa AZAM wananunua kwa bei nzuri ila kwa sasa hawapo Dar wako mashambani na me sina mawasiliano yao hvyo naomba msaada kwa yeyote mwenye mawasiliano yao...

View Article


Natafuta Mbegu ya Vitunguu Maji

Nipo Meatu kwa Muda,ila Nyumbani ni Iramba! Naitaji Mbegu Ya Vitunguu ya Kutosheleza Heka Moja! Mwenye Nayo Naomba Anipe Bei Tufanye Biashara

View Article

Msaada: Je udongo wa mfinyanzi unafaa kwa kilimo cha mahindi na maharage?

Wadau naomba kujua udongo wa mfinyanzi mweusi tiii kama unafaa kwa mazao ya mahindi, maharage, etc na miti kama graveria etc. Naomba kujua kama unafaa kununua!

View Article

Msaada juu ya Rufiji river development basin

habar za jioni ndugu zangu, mimi ni kijana naitaji kujua jinsi ya kuweza kupata eneo maeneo yanayozunguka rufiji ,natakiwa nianzie wapi? je ni kweli awa jamaa wanaweza wakakupa eneo, na vitendea kazi...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>