Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live

Panya wanamaliza mazao yangu, msaada tafadhali

Nimejitahidi kumaliza panya hawa lakini naona inakuwa KAZI ngumu sana, kwani wanakula mazao chini kwa chini unachokuja shtuka ni mmea unadondo tu. Ufumbuzi tafadhali. Natamani nipate mlinzi wa shamba...

View Article


Natafuta anayeuza mayai ya kisasa

Habarin wana jf natafuta mfugaji wa kuku anaeuza mayai kwa bei ya jumla nipo dar es salaam Boko namba yangu n 0658936439

View Article


Nanunua mayai ya jumla ya kisasa-Dodoma

Natafuta mfugaji wa kuku anayeuza mayai ya kisasa kuanzia treyi 10, bei shillingi 6,000 kwa treyi. Muuzaji awe dodoma, kama unayo nicheki 0714112838. Thanks in advance

View Article

Mradi wa utotoleshaji wa vifaranga unalipa

Kampuni yetu ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD iliitwa kwa ajili ya kumshauri mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa na wazo la kufuga kuku wa asili walioboreshwa kama sehemu ya kazi yake ya ziada. Alitaka...

View Article

Kilimo cha viazi mviringo

UTANGULIZI Viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika nchi nyingi zilizoendelea na zinazoendelea. Viazi husitawi vizuri sehemu za miinuko, kati ya meta 1300 na 2700 juu ya usawa wa...

View Article


Mashine ya kutotolesha mayai 300 inauzwa

Habar Kwa mawasiliano ya bei 0717221590. Bado mpya ina miezi 4 tu.

View Article

Msaada nataka kufungua m-pesa, tigo pesa na airtel money

Wanajukwaa naomben mawazo hasa wanaojua hii biashara ninapenda kujua mfumo wa faida yake na gharama za kuanzisha na je line zake zinapatkanaje nina mtaj wa milion moja nawasilisha

View Article

Uzoefu M-Pesa, Tigopesa tafadhali

Naombeni msaada wakuu,nahitaji kuanzisha biashara ya mpesa na tigo pesa.Mwenye uzoefu na biashara hii naombeni anijuze yafuatayo 1.Jinsi ya kupata line hizo 2.Je ni mtaji at least wa shs ngapi nikianza...

View Article


Kilimo cha Mihogo(Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo yafuatayo: 1....

View Article


Mafuta ya mawese

Nahitaji mafuta ya mawese niko Mbeya. Tafadhali anaefahamu yanapouzwa/kama unauza ni sh.ngapi kwa dumu la lita 20.

View Article

Sugar production and consumption in Tanzania

View attachment 348758 ​

View Article

Kilimo cha nyanya kwa mbegu za Anna

Habari ndugu zangu.... Mimi nimeingia kwenye kilimo. Sasa natayarisha shamba kwaajili ys kupanda nyanya, tafadhali naomba msaada kwa ambaye ameshatumia mbegu za ANNA. Je, ni kweli zinazaa miezi nane...

View Article

Kilimo cha mboga mboga

Nataka nilime mboga mboga nnje kidogo ya jiji la Dar es salaam kisha soko liwe maeneo ya Dar, kwa wazoefu naomba ushauli na maelezo juu ya kilimo hiki cha mboga kama mchicha, chainizi, na majani ya kunde

View Article


Je, Waamini kama sukari inatibika kilahisi zaidi? Maamuzi tunayo wenyewe,...

Glucoblock Capsule Regulate Sugar level a.- -It improves circulation of the collateral branch and reallocation of the blood stream, regulate microcirculation and metabolism of the pancreas, so as to...

View Article

Vijana turudi vijijini tununue ardhi ya kilimo

VIJANA TURUDI VIJIJINI TUNUNUE ARDHI Na Eng AYUB MASSAU Habari ndugu watanzania popote mlipo katika kuijenga nchi yetu ya Tanzania na kuhakikisha tunafikia nchi ya uchumi wa kati kama dira ya Taifa ya...

View Article


Kilimo cha Viazi Mviringo (Viazi Ulaya) na masoko yake

Kwa mwana JF yeyote mwenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha viazi naomba anipe detail kuhusu kilimo hicho. Yaani kwa mfano, nikitaka kulima hekari moja natakiwa kuwa mtaji wa kiasi gani? Na vipi namna ya...

View Article

maafisa Mifugo wa vijiji\kata

Wakuu naomba kujua kuhusu utaratibu wa kuwatumia maafisa Mifugo wa serikali. Je wakija kunitibia Mifugo yangu natakiwa kuwalipabei gani?

View Article


Green House expert

Habari? Aise natafuta kampuni reliable (isiyo na magumashi) wanaoweza kunitengenezea green house. Kama wewe ni muhusika au unamfahamu muhusika au kampuni nijulishe kupitia 0713158779 au PM. Kazi ni...

View Article

Green House expert anahitajika

Habari? Aise natafuta kampuni reliable (isiyo na magumashi) wanaoweza kunitengenezea green house. Kama wewe ni muhusika au unamfahamu muhusika au kampuni nijulishe kupitia 0713158779 au PM. Kazi ni...

View Article

Mtaji wa laki 3 naweza kufanya biashara gani

Nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 3 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza na ipo siku i can mek it yes in my...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live