Kwa mwana JF yeyote mwenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha viazi naomba anipe detail kuhusu kilimo hicho.
Yaani kwa mfano, nikitaka kulima hekari moja natakiwa kuwa mtaji wa kiasi gani? Na vipi namna ya kupata shamba? Msimu unaanza mwezi wa ngapi? Jinsi ya kulima na tahadhari za kuchukua wakati wa kilimo hiki. Pia, ningejua masoko yake yapoje inaweza kusaidia kwangu na kwa wengi.
Plz naomba msaada.
Yaani kwa mfano, nikitaka kulima hekari moja natakiwa kuwa mtaji wa kiasi gani? Na vipi namna ya kupata shamba? Msimu unaanza mwezi wa ngapi? Jinsi ya kulima na tahadhari za kuchukua wakati wa kilimo hiki. Pia, ningejua masoko yake yapoje inaweza kusaidia kwangu na kwa wengi.
Plz naomba msaada.