Naomba ushauri kuhusu kilimo cha kunde
Naomba ushauri kwa wenye uzoefu na kilimo cha kunde.. Napenda kujua mbegu bora za muda mfupi na mavuno yake kwa heka moja yanakuwaje? Napenda kuwasilisha.
View ArticleJe, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa...
NEW NEW NEW.....NEW 19/05/2016 PDF YA KAROTI ((Carot=Daucus Carota) IMEKAMILIKA Ina kurasa 14 YALIYOMO 1.MAMBO MUHIMU YA KUFAHAMU KUHUSU KILIMO CHA KAROTI -Mahitaji ya hali ya hewa (Aina ya Udongo,...
View ArticleJifunze kutengeneza sabuni
Ili iitwe sabuni inatakiwa -Ngumu kuiisha -Yenye povu jingi -Nyeupe VIAMBATA VYA kutengenezea sabuni 1)Mafuta-mawese,mise,wanyana 2)Maji 3)Caustic soda(costiki soda) VIFAA VYA KUTENGENEZEA -Ndoo za...
View Articlefish cage aquaculture
niko kanda ya ziwa. ufugaj wa samak kwa njia ya 'cages' nimekuta ni uwekezaj mzur kwa faida ya maana kama nilivyoshuhudia Uganda. anayejua undan wa ufugaj huu na risks zake na sheria zinazosimamia maji...
View ArticleJe ninahitaji kuwalipa maafisa Mifugo wa vijiji\kata
Wakuu naomba kujua kuhusu utaratibu wa kuwatumia maafisa Mifugo wa serikali. Je wakija kunitibia Mifugo yangu natakiwa kuwalipabei gani?
View ArticleNatafuta soko la mihogo
Wadau naomba kupata msaada wa soko la muhogo. Nimelima muhogo natarajia kuanza kuvuna mwezi wa sita na wa saba. Shida Yangu ni kupata soko ambalo litaniwezesha kuuza kwa pamoja.
View ArticleNaomba kufahamu heka moja inaingia miche mingapi ya Mihogo
Wakuu naomba kufaham kwa anaefahamu, Kama utapanda kitaalamu kwenye heka moja kunaingia mashina mangapi ya muhogo?
View ArticleVijana wasomi waeleza wanavyofanikiwa katika kilimo cha vitunguu
VIJANA wasomi wanaounda Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Tanzania (TAYODA) wameeleza mafanikio wanayopata baada ya kuamua kujikita katika kilimo cha vitunguu tangu mwaka 2013, muda mfupi baada ya...
View ArticleUfugaji wa kuku wa mayai
Za sahizi ndugu... Naomba kujua mbegu nzuri ya kuku wa mayai ..... Kwani nataka kufuga kuku wa mayai ila nimeambiwa inabidinijue mbegu gani ni nzuri kwa kufuga hapa jijini DSM. Asanteni
View ArticleUshauri kuhusu biashara ya Nafaka
Habarin ndugu zangu me ni mfanya biashara nafanya biashara ya nafaka na kukufikia popote ulipo na pia kwa ushaur wa biashara ya nafaka pls contact me thru +255719553454/ +255787607207 / +255758909041...
View ArticleKilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na masoko
Wakuu salamu. Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji....
View ArticleUshauri kuhusu kilimo cha bamia
Habari wadau, natamani sana kulima Bamia ila sijui hali yake kisoko. Naomba ushauri wenu ndugu zangu. Na ikiwa unalo wazo mbadala la zao zuri la kilimo linalokomaa na kuuzika kwa mda mfupi usisite...
View ArticleMtaji wa vifaranga vya kuku wa kienyeji 25 wa week 3.
Nimefanikiwa kupata kianzio cha vifaranga vya kuku wa kienyeji ambao nimewakusanya kutoka sehemu tofauti tofauti. Shida yangu ni moja tu muongozo wa jinsi ya kuwafanya wakue vizuri. Nina banda tayari,...
View ArticleMaharage ya kijani(green beans/french beans)
Habari wanajukwaa,naomba kuuliza kwa yeyote anaejua upatikanaji wa maharage ya kijani (french beans/green beans) hapo bongo.hapa nilipo nayaona yanakuja kutoka kenya,hivyo nahisi hata bongo...
View ArticleNatafuta kuku / vifaranga vya kuku wa kienyeji wa mwezi mmoja Kwa Morogoro
Wakuu Nina uhitaji wa kuku wa kienyeji wa kufuga / vifaranga wenye umri WA mwezi mmoja na zaidi Kwa sehemu Za Morogoro. Kama kuna mtu anaweza kuwa nao Naomba tuwasiliane. Wanahitajika Kwa wingi.
View ArticleUfugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania
Kutokana na ongezeko la maswali ya wadau wengi juu ya ufugaji wa kuku aina hii, tumeonelea ni vema tukauweka mjadala huu vema kuweza kuwasaidia wafugaji na wanunuaji wa vifaranga/kuku wa aina hii. Kuku...
View ArticleTour fupi ya shamba langu la greenhouse
Habari za asubuhi. Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya...
View ArticleKwa wakulima na wafanyabiashara
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri 0625748072
View Articlehivi kuna benki zinakopesha walioajiriwa na watu binafsi.
wandugu mimi nimeajiriwa kwa mkataba kwa mtu binafsi huu mwaka wa tatu. take home ni 900,000 Tsh. bosi wangu anawafanyakazi 10. je kuna benki inaweza nikopesha?
View ArticleTujuzane maabara za vyakula vya mifugo hapa Dar.
Habari zenu, nlikuwa naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu juu yq maabara za mifugo kwa hapa Dar, mahali zilipo. Natanguliza shukran zangu
View Article