Nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 3 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza na ipo siku i can mek it yes in my life...Wazoefu wa biashara naombeni mawazo yenu naamin wote humu ni magrt thnker's na sitegemei majibu ya dharau mana clazma kila ukionacho ukoment nawe ujulikane upo..kama huna pita njia na waache wenye busara na upeo watuelimshe..Ahsante
↧