Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7825

Kilimo cha nyanya kwa mbegu za Anna

$
0
0
Habari ndugu zangu.... Mimi nimeingia kwenye kilimo. Sasa natayarisha shamba kwaajili ys kupanda nyanya, tafadhali naomba msaada kwa ambaye ameshatumia mbegu za ANNA. Je, ni kweli zinazaa miezi nane mfululizo?

Na kuhusu soko, mnanishauri vipi nitafute madalali au niuze mwenyewe maana kuna nishatafuta soko kwa watu wa vibanda na kuna wateja ninao tayar. Naomba msaada wenu tafadhali. (Nipo Dar, shamba lipo Mkuranga)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7825

Trending Articles