Naombeni msaada wakuu,nahitaji kuanzisha biashara ya mpesa na tigo pesa.Mwenye uzoefu na biashara hii naombeni anijuze yafuatayo
1.Jinsi ya kupata line hizo
2.Je ni mtaji at least wa shs ngapi nikianza nao nitaweza kuendesha biashara kiufasaha bila kusuasua
3.Vitu gani niwe navyo vinavohitajika mf leseni,tin no
4.Faida inavohesabiwa kwa mwezi naamisha calculation zao wanafanyaje?
Asanteni hope nitapata ushirikiano wakuu
1.Jinsi ya kupata line hizo
2.Je ni mtaji at least wa shs ngapi nikianza nao nitaweza kuendesha biashara kiufasaha bila kusuasua
3.Vitu gani niwe navyo vinavohitajika mf leseni,tin no
4.Faida inavohesabiwa kwa mwezi naamisha calculation zao wanafanyaje?
Asanteni hope nitapata ushirikiano wakuu