Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ?
Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi.
Vipi General management yake ikoje?
Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi.
Vipi General management yake ikoje?