Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7825

Msaada kuhusu hali ya hewa ifaayo kwa Kilimo cha mitiki

$
0
0
Salaam wadau.Naomba kupata maelekezo kuhusu mikoa ya Tanzania ifaayo kwa Kilimo cha miti jamii ya mitiki.Je mkoa wa kagera hususan Wilaya ya Misenyi inawezekana kwa Kilimo hiki? MTU mwenye ekari moja ya Ardhi anaweza kuanzisha mradi huu?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7825

Trending Articles