Watafiti wa Mbegu nchini wamebaini kuwepo kwa aina 800 ya mbegu za ngano, huku baadhi ya mbegu hizo zikiwa na uwezo wa kustawi hata kwenye maeneo yenye joto kali hadi nyuzi joto 40, na kufanya zao hilo liweze kustawi hata maeneo yanayolimwa zao la mpunga, jambo ambalo inaweza kuwa suluhisho la kukabiliana na pengo kubwa la asilimia 90 za mahitaji ya ngano hapa nchini kwa mwaka.
![[IMG]](http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f34820aced436c0e92ca5213a095db5c.jpg)