Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

napata wapi mbegu za mchicha(lishe au superlishe)?

wanajamvi salaam... mimi ni mkulima mdogo wa mbogamboga.... sasa huku kwetu(G/mboto) baada ya mvua kuisha mbegu za mchicha zimekua adim sana... baadhi tumeenda mpaka buguruni na bado hakuna mbegu.......

View Article


Msaada kuhusu kilimo cha bustani kwa mtindo huu kwenye picha

View attachment 346518

View Article


Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze...

Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa...

View Article

Kilimo cha Mihogo(Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo yafuatayo: 1....

View Article

Ufugaji wa kuku wa kienyeji na masoko yake

Naomba ufafanuzi juu ya ufugaji wa kukua wa kienyeji kisasa zaidi na masoko yake kwenye kuuza kuku pamoja na mayai.

View Article


Msaada: Jinsi ya kutengeneza banda la kuku la kisasa

Wapendwa nahitaji kufuga kuku wa kienyeji na ninao kama kuku 10 sasa nahitaji wawe na banda imara na la kisasa sasa sijajua ni vifaa vp vinahitajika ktk banda na ni chakula kipi chenye kufaha

View Article

Ushauri -Kilimo cha Muda Mfupi

Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya kilimo! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums. Leo nimefarijika sana kuja huku...

View Article

Gharama za uendeshaji wa gari

GHARAMA ZA UENDESHAJI WA GARI - APRIL 2012.​ Watu wengi wemekuwa na mtazamo kwamba gharama ya uendeshaji wa gari linapotembea ni mafuta yanayotumika tu. Gharama za uendeshaji wa gari zimegawanyika...

View Article


NIMEAMUA KULIMA NAOMBA MSAADA

Wanjamvi habari zenu... Kutokana na ukakasi wa maisha nimeamua kujiajiri katika kilimo naomba msaada wa kupata eneo zuri la mazao ya nataka ambayo nimewaza kuwa na ya kusambaza nafaka katika mahotel na...

View Article


Nahitaji automatic incubator yenye uwezo wa mayai 96

Wana-JF naomba msaada, nahitaji sana automatic incubator yenye uwezo wa mayai 96, pia kama kuna muuzaji tutazungumza.

View Article

Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Jamani habarini za wikiendi, naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake? Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi...

View Article

KILIMO..KILIMO..KILIMO...

Msaada wa KILIMO katika bonde la mto ruvu mwenye taarifa nitafute pliz nahitaji eneo, na maelekezo Fulani 0625520125

View Article

Miliki eneo la kilimo cha mpunga kwa bei isiyozidi laki 1

kwa anayependa kumiliki eneo lake kwa kilimo cha mpunga kwa bei isiyozidi laki moja View attachment 351567 View attachment 351567

View Article


Zijue Mbinu zangu: Ufugaji Kuku wa Kienyeji

Wana Jf, Kuna maandiko mengi JF ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu wadau wa JF mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga...

View Article

Kwa wafugaji wa kuku wa kisasa

Hey JF Members. Ee bwana kuna mtu anaweza kunipa msaada wa mchanganuo wa kufuga kuku. Naona soko la kuku ni kubwa sana. Hii ni biashara ambayo soko lake liko tayari. hotels, functions, vibanda vya...

View Article


Ufugaji wa Nguruwe: Utaalam na Masoko

View attachment 324772 - Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000 - Banda la mabanzi=1,000,000 - Chakula = 1,000,000 - Dawa= 200000 After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,...

View Article

Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Habari za asubuhi. Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watafiti wabaini aina 800 za mbegu ya ngano

Watafiti wa Mbegu nchini wamebaini kuwepo kwa aina 800 ya mbegu za ngano, huku baadhi ya mbegu hizo zikiwa na uwezo wa kustawi hata kwenye maeneo yenye joto kali hadi nyuzi joto 40, na kufanya zao hilo...

View Article

Business!

View Article

Msaada: Nahitaji kujua mikoa inayozalisha Miwa kwa wingi

Wakuu salam Nina project yangu ambayo mali ghafi kuu ni miwa.( sio sukari). Project hii itafanyika Dar ambapo nataka kufungua small scale sugarcane juice ambayo inakua bottled. Hivyo Nahitaji kujua...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live