Msaada: Wapi pa kupata cage za kufugia kuku wa mayai?
Habari watu wa jamii forums, katika kuperuzi mitandao nikaona kwenye mtandao wa youtube ufugaji wa kuku wa kisasa kwa kuwaweka kwenye cage, yaani ufugaji huu ni wa ufanisi wa juu kweli. Hata kuku...
View ArticleChakula cha kuku - dagaa toka Kanda ya Ziwa
Wana JF kama unahitaji dagaa wa chakula cha kuku tuwasiliane 0713563074. Asante
View ArticleKwa wafugaji wa kuku wa kisasa
Hey JF Members. Ee bwana kuna mtu anaweza kunipa msaada wa mchanganuo wa kufuga kuku. Naona soko la kuku ni kubwa sana. Hii ni biashara ambayo soko lake liko tayari. hotels, functions, vibanda vya...
View ArticlePata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara
Wanajamii, Kama kuna mtu ana utaalam wowote wa ufugaji wa bata naomba tupeane elimu ili tuweze kufuga kisasa kwa ajili ya kutengeneza kipato. Kifuniko said: ↑ Naombwa kujuzwa wana jamvi na kupewa...
View ArticleManufaa ya Ujasiliamali kwa njia ya mtandao
Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa...
View ArticleUfugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania
Kutokana na ongezeko la maswali ya wadau wengi juu ya ufugaji wa kuku aina hii, tumeonelea ni vema tukauweka mjadala huu vema kuweza kuwasaidia wafugaji na wanunuaji wa vifaranga/kuku wa aina hii. Kuku...
View ArticleKilimo cha Mihogo(Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake
Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo yafuatayo: 1....
View ArticleMimi ni Mtaalamu wa kilimo
Natoa ushauri kuhusiana na ukulima wa mazao mbalimbali pia usimamizi wa shamba kuanzia kuandaa shamba kupanda mpaka hatua ya uvunaji pia kuchukua rekodi ya ukuaji wa mazao yako lima kwa faida ukitumia...
View ArticleUfugaji wa Nguruwe: Utaalam na Masoko
View attachment 324772 - Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000 - Banda la mabanzi=1,000,000 - Chakula = 1,000,000 - Dawa= 200000 After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,...
View ArticleUshauri kuhusu kilimo cha bamia
Habari wadau, natamani sana kulima Bamia ila sijui hali yake kisoko. Naomba ushauri wenu ndugu zangu. Na ikiwa unalo wazo mbadala la zao zuri la kilimo linalokomaa na kuuzika kwa mda mfupi usisite...
View ArticleKilimo na soko la Karanga mbichi
Habari zenu Wajasiliamali! Nakuja tena wadau hasa kwa wale wenye idea juu ya zao na la karanga katika soko na kilimo chake naombeni uzoefu wenu,juu ya zao ilo na changamoto zake hasa katika kulilima na...
View ArticleMtaji wa laki 3 naweza kufanya biashara gani
Nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 3 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza na ipo siku i can mek it yes in my...
View ArticleMBEGU ZA MBOGAMBOGA ZA MAJANI
Nauza mbegu za mbogamboga za majani jumla na lejaleja, 1.mbegu ya majani ya maboga. 2. mbegu ya figili. 3. mbegu ya mchicha(super lishe) &)(lishe)
View ArticleWakulima wananyonywa Halmashauri zakosa Ushuru
Vyombo vya serikali na mamla husika chukueni hatua Mimi ni mdau mkubwa kwenye zao la ufuta na nimekuwa nafuatilia sana zao hili kwa muda sasa. kwanza nianze kwa msimu uliopita. Mwaka jana kiasi cha...
View ArticleNatafuta mtu makini wa kushirikiana na mimi kuwekeza katika kilimo
Salaam Wakuu, Mimi ni kijana muhitimu wa Chuo kikuu. Katika mapambano ya kusaka mkate wa kila siku nimeona ni vema nikajikita katika kujiajiri. Naaam kujiajiri katika sekta ya Kilimo na ufugaji, sasa...
View ArticleUshauri kuhusu kilimo cha mpunga
Nahitaj ushaur wenu.. . Ni shamba la ekari ngap naweza kutoa gunia 100 la mpunga au gunia 90 za mchele??
View Article