Salaam wakuu.
Nina mpango wa kuwa nasafirisha dagaa kutoka Bukoba kuleta Dar.
Mwenye information kuhusu soko la dagaa hapa mjini naomba anijuze, maeneo gani naweza kuuza hawa dagaa. Niko interested sana na hii biashara.
Nina mpango wa kuwa nasafirisha dagaa kutoka Bukoba kuleta Dar.
Mwenye information kuhusu soko la dagaa hapa mjini naomba anijuze, maeneo gani naweza kuuza hawa dagaa. Niko interested sana na hii biashara.