Habari great thinkers, hivi mbona sijawahi kuona ufugaji mkubwa wa hawa bata wa kienyeji na wala wakipigiwa upatu kama kuku wa kienyeji au kisasa. Ni kwamba hawana soko au lah?. Maana hata mayai ya bata sijawahi ona maali wanauza au kununua kwa udogo wa maeneo nliofika. Nikijikita katika ufugaji wa bata wa kienyeji in a mass si itakua hasara au?. Maoni yenu tafadhali
↧