Heshima kwanza
Wakuu, nina shamba eneo la Makaa Yamu, Kirua Vunjo, wilaya ya Moshi vijijini lenye ukubwa wa ekari kumi na sita 16 (limepimwa na hati miliki)
Shamba lipo kilometer nne kutoka barabara kuu iendayo Dar es salaam na Mombasa.Shamba hili lipo eneo la ukanda wa tambarare Kusini mwa mlima Kilimanjaro.Ukanda wa eneo hili lilipo shamba langu ni mkubwa sana na wamiliki wengi wa mashamba haya hulima mahindi wakati wa msimu wa mvua (masika).
Eneo hili lina rutuba nzuri sana,...
Kilimo cha tunda aina ya Pesheni: Utaalam na Masoko
Wakuu, nina shamba eneo la Makaa Yamu, Kirua Vunjo, wilaya ya Moshi vijijini lenye ukubwa wa ekari kumi na sita 16 (limepimwa na hati miliki)
Shamba lipo kilometer nne kutoka barabara kuu iendayo Dar es salaam na Mombasa.Shamba hili lipo eneo la ukanda wa tambarare Kusini mwa mlima Kilimanjaro.Ukanda wa eneo hili lilipo shamba langu ni mkubwa sana na wamiliki wengi wa mashamba haya hulima mahindi wakati wa msimu wa mvua (masika).
Eneo hili lina rutuba nzuri sana,...
Kilimo cha tunda aina ya Pesheni: Utaalam na Masoko