Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze...

Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana masomi waeleza wanavyofanikiwa katika kilimo cha vitunguu

VIJANA wasomi wanaounda Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Tanzania (TAYODA) wameeleza mafanikio wanayopata baada ya kuamua kujikita katika kilimo cha vitunguu tangu mwaka 2013, muda mfupi baada ya...

View Article


JIFUNZE: Kilimo bora cha zao la SOYA

View attachment 331993 Zao la Soya lina protini nyingi yenye ubora wa hali ya juu kuliko iliyoko katika aina nyingine ya mazao ya mimea. Kiasi cha protini katika soya inazidi hata kiasi cha protini...

View Article

Zijue Mbinu zangu: Ufugaji Kuku wa Kienyeji

Wana Jf, Kuna maandiko mengi JF ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu wadau wa JF mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga...

View Article

Natafuta soko la mihogo

Wadau naomba kupata msaada wa solo la muhogo. Nimelima muhogo natarajia kuanza kuvuna mwezi wa sita na wa saba. Shida Yangu ni kupata soko ambalo litaniwezesha kuuza kwa pamoja.

View Article


Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Jamani habarini za wikiendi, naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake? Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi...

View Article

Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa...

NEW, NEW, NEW, NEW.. TAREHE; 14 DISEMBA 2015. SOMO LA NNE (4) . Denguwe/Kanitangaze/Tuta Absoluta LEO TUTAJIFUNZA KWA KIFUPI KUHUSU MDUDU AITWAYE DENGUWE/KANITANGAZE/TUTA ABSOLUTA KIASILI/KIHISTORIA...

View Article

Mazao ya kulima kwa mkoa wa Kilimanjaro

Habari, waheshimiwa naomba msaada kwa wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro natarajia kuhamia mkoani humo kwenye mwezi wa 5. Naomba kujua mazao yanayolimwa katika mkoa huo pamoja na upatikanaji wa mashamba....

View Article


Manufaa ya Ujasiliamali kwa njia ya mtandao

Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa...

View Article


Natafuta steroid inaitwa trenbolone acetate

Kama kichwa kinavyoeleza....natafuta hiyo kitu kwa ajili ya kuwapa ng`ombe uli wawe wanafanya metabolism kwa haraka....mwenye info zaidi ani pm.....thanks

View Article

Ufugaji wa Nguruwe: Utaalam na Masoko

View attachment 324772 - Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000 - Banda la mabanzi=1,000,000 - Chakula = 1,000,000 - Dawa= 200000 After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,...

View Article

Kilimo cha miwa kwa biashara

Wakuu heshima kwenu, Naomba kufahamu kuhusu zao hili, kama upatikanaji wa mbegu, muda wa kukomaa tangu kupandwa, heka moja kwa wastani unaweza kupata miwa kiasi gani, na kiasi gani cha pesa kinatosha...

View Article

Ushauri kuhusu Kilimo cha Umwagiliaji

Ndg wanajamvi, natumai hamjambo. Ninahitaji mshauri katika mambo ya kilimo cha umwagiliaji. Contact me via inbox. Karibu na asante sana, Josam

View Article


VIJANATURUDI VIJIJINI TUNUNUE ARDHI YA KILIMO IPO.

VIJANA TURUDI VIJIJINI TUNUNUE ARDHI Na Eng AYUB MASSAU Habari ndugu watanzania popote mlipo katika kuijenga nchi yetu ya Tanzania na kuhakikisha tunafikia nchi ya uchumi wa kati kama dira ya Taifa ya...

View Article

Msada juu ya Ndagu

Ni kwa bahati mbaya nilipojaza kifusi ndani ya garden yangu kumekuwa na ndagu nyingi sana. Hizi ndagu inaonekana zililetwa na hicho kifusi.Nimejaribu kuzign'oa lakini bado zipo na zimenikatisha tamaa...

View Article


Pata kisima kwa umwaligiliaji shambani kwako

Ile kampuni yako pendwa ya uchimbaji wa visima (water well and borehole drilling) inakuja kivingine kwa bei za kumsaidia mteja,Hii ni bei mpya ipo miongoni mwa bei zetu tulizonazo 1: Tsh 40000; kwa bei...

View Article

Vijana turudi vijijini tununue ardhi ya kilimo

VIJANA TURUDI VIJIJINI TUNUNUE ARDHI Na Eng AYUB MASSAU Habari ndugu watanzania popote mlipo katika kuijenga nchi yetu ya Tanzania na kuhakikisha tunafikia nchi ya uchumi wa kati kama dira ya Taifa ya...

View Article


Natafuta anayeuza mayai ya kisasa

Habarin wana jf natafuta mfugaji wa kuku anaeuza mayai kwa bei ya jumla nipo dar es salaam Boko namba yangu n 0658936439

View Article

Nipo kikazi Kanda ya Ziwa; Kwa ushauri kuhusu ufugaji kuku na mashine za...

Habari,kwa sasa nipo kikazi kanda ya ziwa,kwa anaetaka tuonane anaweza akawasiliana nami kwa simu namba 0784413039.Natarajia kurudi Dsm siku ya ijumaa. Mikoa ninayotembelea ni Mara,Mwanza,na bukoba....

View Article

Mradi wa utotoleshaji wa vifaranga unalipa

Kampuni yetu ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD iliitwa kwa ajili ya kumshauri mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa na wazo la kufuga kuku wa asili walioboreshwa kama sehemu ya kazi yake ya ziada. Alitaka...

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>