Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live
↧

Wazoefu wa incubator mashine njooni mnipe ushauri

Nimenunua incubator machine yenye uwezo wa mayai 700. Nimeweka mayai, ila kati ya 700 nimepata vifaranga 300 tuu. Binafsi sijafurahi kwa sababu matarajio yangu yalikuwa at least 500. Kuna mayai mpaka...

View Article


Biashara ya HARDWARE

Salaam wakuu, binafsi nimekuwa na wazo la kufungua duka la hardware jijini Mwanza katika maeneo ambayo mji ndio unajengeka. Je, nitawezaje kupata reliable source nzuri ya mahitajio/bidhaa ili nami...

View Article


Ushauri kuhusu biashara ya Nafaka

Habarin ndugu zangu me ni mfanya biashara nafanya biashara ya nafaka na kukufikia popote ulipo na pia kwa ushaur wa biashara ya nafaka pls contact me thru +255719553454/ +255787607207 / +255758909041...

View Article

Naomba ushauri wa kozi hii: Basic technician in animal health and production

Hii kozi unaweza fanya kazi sehemu zipi baada ya kumaliza masomo??? je unaweza pata ajira???? private or serikalini??? ina soko la ajira???

View Article

Njoo tujadili namna ya kutengeneza zaidi ya mil 100 ndani ya mwaka mmoja

Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa! Rejea kichwa hapo juu! Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo kuanzia...

View Article


Natafuta Mbegu ya Vitunguu Maji

Nipo Meatu kwa Muda,ila Nyumbani ni Iramba! Naitaji Mbegu Ya Vitunguu ya Kutosheleza Heka Moja! Mwenye Nayo Naomba Anipe Bei Tufanye Biashara

View Article

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na masoko

Wakuu salamu. Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji....

View Article

Wanunuzi wa Mbaazi wa AZAM

Wana Jf nauza mbaaz kuna mtu aliniambia kuwa AZAM wananunua kwa bei nzuri ila kwa sasa hawapo Dar wako mashambani na me sina mawasiliano yao hvyo naomba msaada kwa yeyote mwenye mawasiliano yao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana wasomi waeleza wanavyofanikiwa katika kilimo cha vitunguu

VIJANA wasomi wanaounda Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Tanzania (TAYODA) wameeleza mafanikio wanayopata baada ya kuamua kujikita katika kilimo cha vitunguu tangu mwaka 2013, muda mfupi baada ya...

View Article


Msaada kuhusu kilimo cha bustani kwa mtindo huu kwenye picha

View attachment 346518

View Article

Natafuta soko la mihogo

Wadau naomba kupata msaada wa solo la muhogo. Nimelima muhogo natarajia kuanza kuvuna mwezi wa sita na wa saba. Shida Yangu ni kupata soko ambalo litaniwezesha kuuza kwa pamoja.

View Article

Kwa wanaojua lilipo soko la mbaazi na choroko

Habari wana jf, katika kukimbizana na maisha ninampango wa kulima mbaazi na choroko mkoani mtwara, zinastawi sana. nipo katika mchakato wa kujua soko/wanunuzi wakubwa hapa nchini ili niwe na uhakika na...

View Article

Natafuta mtu wa kufuga nae Nguruwe wa kisasa Kilimanjaro

Habari zenu Wadau Nimesoma mabandiko mbalimbali ya ufugaji wa nguruwe wa kisasa...nimekuwa nikijikongoja kupata mtaji na nimefanikiwa kupata Mtaji wa 2.5m..sasa natafuta Partner wa kufanya nae hiyo...

View Article


Zijue Mbinu zangu: Ufugaji Kuku wa Kienyeji

Wana Jf, Kuna maandiko mengi JF ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu wadau wa JF mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga...

View Article

Kilimo cha miti ya mbao - Kibondo

Mkuu, mambo vipi? Naomba ushauri wako. Kuna eneo naweza kupata Kibondo (Kigoma), nahitaji nipande miti ya mbao. Nimeambiwa miti hii inastawi Kibondo. 1)Acrocarpus (2)Casuarina spp (3)Cedrela odorata...

View Article


Msaada juu ya Ndago

Ni kwa bahati mbaya nilipojaza kifusi ndani ya garden yangu kumekuwa na ndagu nyingi sana. Hizi ndagu inaonekana zililetwa na hicho kifusi.Nimejaribu kuzign'oa lakini bado zipo na zimenikatisha tamaa...

View Article

Je wewe ni mjasiriamali au unautaka ujasiriamali?

Katibu katika kundi kubwa la wajasiriamali. Tulikua whatsapp ila sasa tumehamia telegram kwa sababu group la whatsapp lilijaa watu 256 hivyo tumehamia telegram inayochukua watu wengi zaidi. Kwa sasa...

View Article


Biashara ya HARDWARE

View Article

Nahitaji Supplier wa kuku wa kienyeji kutoka Singida

Habari wana bodi Nahitaji mtu wa uhakika ambaye atakuwa ananiletea kuku wa kienyeji kutoka Singida. Awe na uwezo wa kuleta kuku wa kienyeji 80 - 100 kwa wiki. Mtu ambaye yupo Singida na anaweza kufanya...

View Article

Nanunua mayai ya jumla ya kisasa-Dodoma

Natafuta mfugaji wa kuku anayeuza mayai ya kisasa kuanzia treyi 10, bei shillingi 6,000 kwa treyi. Muuzaji awe dodoma, kama unayo nicheki 0714112838. Thanks in advance

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>