Quantcast
Channel: Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live

Natafuta mshauri wa kilimo hapa DSM tutalipana kwa makubaliano maalum

HELO HABARI WAJASIRIAMALI WENZANGU Nataka kuanza kilimo cha mazao kadhaa especialy ya matunda kama maembe, mapapai na ya mboga mboga kama bamia, pilipili, nyanya etc sasa sitaki kutumia kilimo cha...

View Article


Mazao ya kulima kwa mkoa wa Kilimanjaro

Habari, waheshimiwa naomba msaada kwa wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro natarajia kuhamia mkoani humo kwenye mwezi wa 5. Naomba kujua mazao yanayolimwa katika mkoa huo pamoja na upatikanaji wa mashamba....

View Article


Tushauriane kuhusu water pump

Mimi ni mdau wa kilimo, naomba mwenye uelewa na kama picha ipo tupia hapa, lengo la kuanzisha maada ni kurahisisha kupatikana kwa taarifa muhimu kuhusu water pump hivyo inaweza kuhamasisha vijana...

View Article

Hii ni njia gani ya uvuvi?

Jamani huyu Msela anavua kwa kutumia nn hapo? Binafsi nimeshindwa kuelewa!!!!!!!

View Article

Mashine ya kumwagilia isiyotumia umeme

wanajamvi habarini.. nimeanzisha bustani ya mbogamboga ila changamoto nnayoipata ni katika umwagiliaji kwani maji ya kumwagilia nayachota kisimani (bustani inahitaji kama ndoo 100 kwa siku). hivyo...

View Article


Kilimo cha Mihogo(Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo yafuatayo: 1....

View Article

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na masoko

Wakuu salamu. Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji....

View Article

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Salaams Wapendwa wangu,,....!! Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!! Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!! Mimi ni mwanamke...

View Article


Ushauri kuhusu kilimo cha bamia

Habari wadau, natamani sana kulima Bamia ila sijui hali yake kisoko. Naomba ushauri wenu ndugu zangu. Na ikiwa unalo wazo mbadala la zao zuri la kilimo linalokomaa na kuuzika kwa mda mfupi usisite...

View Article


Nina toa ushauri kwenye kilimo cha alizeti, mbaazi, maharage na mahindi

Nawakaribisha wale wote wanaopenda kufahamu kuhusu, kilimo cha Alizeti, Mbaazi, Maharage, Mtama na Mahindi. Naomba tuwasiliane kupitia JamiiForums.

View Article

Msaada wapi naweza kupata vifaranga vya samaki

Habari za mihangaiko ndugu zangu. Naombeni msaada wenu ndugu zangu kwenye kajishamba changu ninavibwawa viwili nahitaji kuweka samaki, moja niweke kambale na jingine niweke sato, hivyo naomba kupata...

View Article

Msaada wa ushauri kuhusu kilimo cha mapapai na mbogamboga

Wanajanvi habari zenu, nina ndugu yangu anataka kuanzisha kilimo cha kisasa cha mboga mboga na matunda hasa mapapai, ameshaanza kuchimba kisima kirefu kwa ajili ya umwagiliaji, swali langu ni kuomba...

View Article

Msaada mbegu bora za mapapai

Nahitaj mbegu bora za mapapai nipo Mwanza

View Article


Water Sprinklers

Kwa wakazi wa Dar naomba kujuzwa nitapata wapi water sprinklers kwa ajili ya kumwagilia shamba la 10 acres, nazingatia ubora zaidi. Asante

View Article

Njoo tujadili namna ya kutengeneza zaidi ya mil 100 ndani ya mwaka mmoja

Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa! Rejea kichwa hapo juu! Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo kuanzia...

View Article


Michungwa inayoweza kuzaa machungwa 4000 kwa kila mchungwa

habari wanaJF Nashkuru muda mrefu umepita tangu nitoe thread yangu ya kuhusu kilimo cha michungwa inayojulikana kwa "tathmini ya mapato ya michungwa" Nimekua nikipokea simu na message na e-mail kutoka...

View Article

Wafugaji wa kuku msaada

Wafugaji wa kuku ninaomba msaada wa haraka kuku wangu wanateketea. Naomba mnisaidie tiba ya ugonjwa wa kwenye picha

View Article


Soko la uhakika la uyoga

Wadau Heshima kwenu, Nimevutiwa sana na kilimo cha uyoga na nimeamua nianze rasmi lakini kabla sijaanza nataka kuwa na uhakika na masoko yake hapa nchini, Tafadhali mwenye taarifa za masoko anijuze...

View Article

Kilimo cha Pilipili Hoho

Habari wana waungwana? Naomba muongozo wa kilimo cha pilipili hoho kwa wenye uzoefu. Asanteni =============================== baraka607 said: ↑ Nna mchakato ambao nilipata wakati niko Kenya kwenye...

View Article

Kumuasi mbwa (Castration)

Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi. Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje Msaada please matusi ayaitajiki

View Article
Browsing all 7825 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>